Jinsi nilivyomuokoa mzee mmoja na njama za kutaka kuuawa na kijana wake


Finally mihogo twashushia Na chai
 
Umenata na biti vijana wanasema endelea mkuu

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama inaendelea au ndo mwisho.

Hope kwako tamaa ya zile pesa ndo ilikutesa mpaka ukakubali kununuliwa.

Hope hukumsaidia mzee maana ulikuwa unatiririka tu na wale wauaji ambapo mwisho wewe ndo ungekabidhiwa zana za kuua, si uliishaonekana unapenda pesa?.

Anyways ngoja nione umemalizaje.
 
Usiendelee unaizingua unaandika kifala, una andika kwa visentesi viwili viwili tu ndo nini sasa? Amdika yote story iishe au acha kabisa kuandika tusome story zingine maana zipo nyingi tu.
Acha kupaniki Boss. Life is too short mzee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…