Jinsi nilivyomuokoa mzee mmoja na njama za kutaka kuuawa na kijana wake

Kwa Nini mtu akileta story Kuna watu mnakatisha tamaa?

Kama unaona uongo Basi chukulia Kama burudani (riwaya) umeshindwa Basi pita kimya
Yaani jf kuna mijitu mipumbav mkuu acha tu. Kuna haja ya kuwa na vetting ili members wenye akili ndogo wasiruhusiwe
 
Yaani jf kuna mijitu mipumbav mkuu acha tu. Kuna haja ya kuwa na vetting ili members wenye akili ndogo wasiruhusiwe
Kabisa mkuu, inakera sana siku hizi mizaha inakuwa mingi hata kama jambo ni la muhimu.
 
Ulipewa hela utunze siri matokeo yake umeropoka we kweli fala sasa hivi ungekuwa mbali kimaisha na wala sio jamii forum.
 
Kuna yule the bold aaah mwamba alishaganipa mpaka msongo wa mawazo wa hizi Mambo za kuleta story nusunusu
 
noma sana
 
Mimi nikiwaaambia matajiri wengi wa mwanza wameupata utajiri kwa ujambazi huwa hamkubali...matajiri wa mwanza wamejificha kwenye kichaka cha uvuvi na madini lakini asilimia kubwa ni majambazi...kule mikoa ya kaskazini matajiri wengi ni matapeli tu...hii mikoa ya kanda ya ziwa ndio imesheheni kwa kesi za mauaji na unyang'anyi wa kutumia siraha.....PATA BAHATI UINGIE KWENYE GEREZA LA BUTIMBA, KULE NDANI UTAPATA SIRI NYINGI ZA MATAJIRI WA MWANZA NA MIKOA YA JIRANI.....
 

Mm ni mzawa wa Tarime aisee miaka ya 90 mpk 2000 na ushee naondoka Tarime hakukuwa na tajir zaid ya wakurya(sio kama mikoa mingine sijui wachaga NO) but 90% ni majambazi wanavamia kenya na uganda

Yaan mtu anaenda kenya anahamisha duka zima anakuja kujaza dukan kwake
 
Ulipewa hela utunze siri matokeo yake umeropoka we kweli fala sasa hivi ungekuwa mbali kimaisha na wala sio jamii forum.
Kwa milioni 5 aliyopewa ndio awe mbali kimaisha?....uliishawahi kushika pesa nyingi kweli wewe?...kuna vijana mtaani wakiishanunua kitanda ,godoro na mziki mkubwa huwa wanawaza kuowa au na wewe ni miongoni mwao?😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…