Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

kwahiyo unachotaka kutuambia hapa ni huna nguvu za kiume, ndio ulikuwa unafuata ushauri wa humu ndani ila Bahat mbaya ulikosea masharti sio?
 
Wakuu habari zenu.

Leo ilikua siku yangu ya mwisho hapa duniani ni vile tu Mungu hakupanga.Ipo hivi 👎

Jana katika pitapita zangu humu j.f nikakutana na uzi ukisema juisi ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa huongeza nguvu hasa ya tendo la ndoa.

Kwakua mimi ni mtu wa kujaribu jaribu vitu vipya nikaiweka kwenye notebook yangu ili leo nifanyie kazi.

Sasa jana usiku nilipiga konyagi mzinga ule mkubwa nikajilalia zangu.

Leo asubuhi kabla sijatoka nikasema em ngoja niende sokoni nikanunue vile vifaa nije nitengeneze juice yangu ili nikirudi jioni mama watoto apate chakula yake.

Nikanunua vitunguu swaumu vya elfu moja na pilipili kichaa ya elfu moja. Nikasaga kwenye brenda nikachanganya na asali nikaacha kwenye friji kwa nusu saa nikachukua nikapiga fundo kadhaa afu nikatulia.

Aisee baada ya sekunde kadhaa tumbo likaanza kunyonga vibaya mno(sijawahi kuumwa tumbo kama hii leo).Nikaanza kutoka jasho jingi utasema nimemwagiwa maji, nikakimbilia msalani nikakuta wife anaoga nikapiga mlango ikabidi anipishe atoke nje.

Nikazama toilet naugulia maumivu tu sipati haja yoyote nikarudi tena chumbani huku nagalagala🥲.

Kulikua na maji pale chumbani nikawa nakunywa ili nipunguze ule ukali wa tumbo.

Nikamwambia wife achukue pesa ya matumizi akanunue flagile (metronidazole) ili nipoze maumivu ya tumbo.

Niliendelea kuumwa vibaya mno hadi wife alipofika na dawa akanipa ninywe ili nipoze maumivu.🙏

Nilikwisha sahau kama nilikunywa mzinga wa konyagi ile jana usiku na asubuhi sikula chochote zaidi ya Juice ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa.

Bahati nzuri nilikua natapika vibaya mno kwahiyo ile dawa sikunywa na nilikua natoa jasho jingi sana mwilini huku mapigo ya moyo yakienda kasi nikajua hapa sitoboi nasubiri miujiza tu.

Baada ya kutapika kwa mda mrefu na jasho jingi kutoka ile khali ikaanza kupungua na ile dawa flagile sikuigusa kabisa.Sasa baada ya kutulia nikaongea na Daktari wa familia akasema kama ningechanganya ile flagile na ile konyagi ya jana huenda ingekua ndio kifo changu maana haichukui round kuharibu mfumo mzima wa upumuaji na mapigo ya moyo yaani disulfiram like effects.🙆‍♂️

Je, ushawahi nusurika kufa kisa pombe au namna yoyote ile, ilikuaje?

View attachment 3152333
Vipi lakini ulijaribu mitambo kwa mkeo utupe mrejesho wa dawa au bado hadi usiku
 
Wakuu habari zenu.

Leo ilikua siku yangu ya mwisho hapa duniani ni vile tu Mungu hakupanga.Ipo hivi 👎

Jana katika pitapita zangu humu j.f nikakutana na uzi ukisema juisi ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa huongeza nguvu hasa ya tendo la ndoa.

Kwakua mimi ni mtu wa kujaribu jaribu vitu vipya nikaiweka kwenye notebook yangu ili leo nifanyie kazi.

Sasa jana usiku nilipiga konyagi mzinga ule mkubwa nikajilalia zangu.

Leo asubuhi kabla sijatoka nikasema em ngoja niende sokoni nikanunue vile vifaa nije nitengeneze juice yangu ili nikirudi jioni mama watoto apate chakula yake.

Nikanunua vitunguu swaumu vya elfu moja na pilipili kichaa ya elfu moja. Nikasaga kwenye brenda nikachanganya na asali nikaacha kwenye friji kwa nusu saa nikachukua nikapiga fundo kadhaa afu nikatulia.

Aisee baada ya sekunde kadhaa tumbo likaanza kunyonga vibaya mno(sijawahi kuumwa tumbo kama hii leo).Nikaanza kutoka jasho jingi utasema nimemwagiwa maji, nikakimbilia msalani nikakuta wife anaoga nikapiga mlango ikabidi anipishe atoke nje.

Nikazama toilet naugulia maumivu tu sipati haja yoyote nikarudi tena chumbani huku nagalagala🥲.

Kulikua na maji pale chumbani nikawa nakunywa ili nipunguze ule ukali wa tumbo.

Nikamwambia wife achukue pesa ya matumizi akanunue flagile (metronidazole) ili nipoze maumivu ya tumbo.

Niliendelea kuumwa vibaya mno hadi wife alipofika na dawa akanipa ninywe ili nipoze maumivu.🙏

Nilikwisha sahau kama nilikunywa mzinga wa konyagi ile jana usiku na asubuhi sikula chochote zaidi ya Juice ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa.

Bahati nzuri nilikua natapika vibaya mno kwahiyo ile dawa sikunywa na nilikua natoa jasho jingi sana mwilini huku mapigo ya moyo yakienda kasi nikajua hapa sitoboi nasubiri miujiza tu.

Baada ya kutapika kwa mda mrefu na jasho jingi kutoka ile khali ikaanza kupungua na ile dawa flagile sikuigusa kabisa.Sasa baada ya kutulia nikaongea na Daktari wa familia akasema kama ningechanganya ile flagile na ile konyagi ya jana huenda ingekua ndio kifo changu maana haichukui round kuharibu mfumo mzima wa upumuaji na mapigo ya moyo yaani disulfiram like effects.🙆‍♂️

Je, ushawahi nusurika kufa kisa pombe au namna yoyote ile, ilikuaje?

View attachment 3152333
Ulimpania mama yoyoo mwisho wake ukashindwa hata kuinua mkono.
 
Kwanza mtu alikushauri pilipili kichaa na kituu swaumu inabid umalàni
Pili dawa yeyote bila kula ni hatar sana
Tatu Cayyene pepper ndo pilipili pekee ambayo ni tiba na blood thinner pitia Herbalist na Nutrionalist wote dunian
Zaid pombe na dawa ni hatar kwa afya yako
Asante kwa ushauri mkuu
 
Wakuu habari zenu.

Leo ilikua siku yangu ya mwisho hapa duniani ni vile tu Mungu hakupanga.Ipo hivi 👎

Jana katika pitapita zangu humu j.f nikakutana na uzi ukisema juisi ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa huongeza nguvu hasa ya tendo la ndoa.

Kwakua mimi ni mtu wa kujaribu jaribu vitu vipya nikaiweka kwenye notebook yangu ili leo nifanyie kazi.

Sasa jana usiku nilipiga konyagi mzinga ule mkubwa nikajilalia zangu.

Leo asubuhi kabla sijatoka nikasema em ngoja niende sokoni nikanunue vile vifaa nije nitengeneze juice yangu ili nikirudi jioni mama watoto apate chakula yake.

Nikanunua vitunguu swaumu vya elfu moja na pilipili kichaa ya elfu moja. Nikasaga kwenye brenda nikachanganya na asali nikaacha kwenye friji kwa nusu saa nikachukua nikapiga fundo kadhaa afu nikatulia.

Aisee baada ya sekunde kadhaa tumbo likaanza kunyonga vibaya mno(sijawahi kuumwa tumbo kama hii leo).Nikaanza kutoka jasho jingi utasema nimemwagiwa maji, nikakimbilia msalani nikakuta wife anaoga nikapiga mlango ikabidi anipishe atoke nje.

Nikazama toilet naugulia maumivu tu sipati haja yoyote nikarudi tena chumbani huku nagalagala🥲.

Kulikua na maji pale chumbani nikawa nakunywa ili nipunguze ule ukali wa tumbo.

Nikamwambia wife achukue pesa ya matumizi akanunue flagile (metronidazole) ili nipoze maumivu ya tumbo.

Niliendelea kuumwa vibaya mno hadi wife alipofika na dawa akanipa ninywe ili nipoze maumivu.🙏

Nilikwisha sahau kama nilikunywa mzinga wa konyagi ile jana usiku na asubuhi sikula chochote zaidi ya Juice ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa.

Bahati nzuri nilikua natapika vibaya mno kwahiyo ile dawa sikunywa na nilikua natoa jasho jingi sana mwilini huku mapigo ya moyo yakienda kasi nikajua hapa sitoboi nasubiri miujiza tu.

Baada ya kutapika kwa mda mrefu na jasho jingi kutoka ile khali ikaanza kupungua na ile dawa flagile sikuigusa kabisa.Sasa baada ya kutulia nikaongea na Daktari wa familia akasema kama ningechanganya ile flagile na ile konyagi ya jana huenda ingekua ndio kifo changu maana haichukui round kuharibu mfumo mzima wa upumuaji na mapigo ya moyo yaani disulfiram like effects.🙆‍♂️

Je, ushawahi nusurika kufa kisa pombe au namna yoyote ile, ilikuaje?

View attachment 3152333
Pooole sana mkuu. Toa sadaka kwa wagonjwa hospitalini.
 
Kitunguu Saumu ni punje tu we unaweka vya buku kabisa mtandaon kila mtu daktari ,kwan we huna nguvu za kiume mpaka uongoze?
 
Back
Top Bottom