Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

kwahiyo unachotaka kutuambia hapa ni huna nguvu za kiume, ndio ulikuwa unafuata ushauri wa humu ndani ila Bahat mbaya ulikosea masharti sio?
 
Vipi lakini ulijaribu mitambo kwa mkeo utupe mrejesho wa dawa au bado hadi usiku
 
Na tungemsukumia nyama wife wako kwa mambo ya kudanywa mtandaoni
 
Ulimpania mama yoyoo mwisho wake ukashindwa hata kuinua mkono.
 
Asante kwa ushauri mkuu
 
Pooole sana mkuu. Toa sadaka kwa wagonjwa hospitalini.
 
Kitunguu Saumu ni punje tu we unaweka vya buku kabisa mtandaon kila mtu daktari ,kwan we huna nguvu za kiume mpaka uongoze?
 
Jumapili naenda kutoa mkuu
Yani ukatoe sadaka kanisa kwa watu wenye vitambi vya kuzidiwa na lishe wakati kuna wahitaji kibao , hata lishe moja tu ni tabu?? nimeuliza tu wala sikupangii chochote mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…