Jinsi nilivyonusurika kupata virusi vya UKIMWI

Naona mwandishi anataka atupige anaonekana kweli alisoma mchepuo wa sanaa na anajua kuyaumba maneno mpaka hapo izo comments zake zshamuonesha ni mtu wa aina gani
Kuna watu ni professional matapeli! Halafu kumbukumbu hawana!
 
Pole sana mkuu umepitia mazito lakini huna budi kukaza ukimtegemea mungu
 
Mi pia sijaelewa hapa, ukipewa ada hata asilimia 5 hela ya kujikimu lazima upewe
Chai hiyo mkuu. Kwa mtu anaesoma riwaya utajua tu kua hii ni chai.
Jamaa kasomasoma riwaya kaona atunge kisa chake. Kuna vionjo ambavyo kama msimuliaji ni muhusika hawezi kuviweka.
 

Sasa mujomba huo mkopo ulikua wa dipuloma au masitazi
 
Watu kama nyie ndio wanaowafanya watu wawe na mioyo migumu kusaidia watu

You are totally liar!
 
Ikiendelea kumbuka kuweka vituo ili ambao tumeshwindwa kusoma tujaribu... Unaaandika kama uliruka shule ya msingi na kwenda sekondari moja kwa moja!
Nawe acha mashauzi, nyie watoto wa chanjo sijui mpoje.
 

Njoo dm
 
Mbona coment za waja zinanishtua[emoji15][emoji15] nilitaka kumsaidia ila mmeniogopesha

Kuna kijana alikuja na kisa kama hiki hapa Jf nikamchukua nakaa nae he is the best[emoji122] nilitaka nimchukue na huyu wakae wote nae kama atakuwa kama mwenzake nimsaidie pia ila coment zenu zimeniogopesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…