Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Mkuu ukirudia kulima inakukata vibaya. Angalia hii trendMie watu wanao toa stori za mafanikio ya kilimo na washangaa jambo moja wanafanikiwa kupitia kilimo tena hapo wanakikimbia haraka kufungua biashara mjini badala yakuendeleza hicho kilima awe kwenye large scale production, kwanini wanakikimbia?
Mkuu nikupe siri usilime mazao ya msimu na kama utalazimika kufanya hivyo nenda kinyume chake wenzio wakiwa wanavuna ww panda wakiwa wanapanda ww vuna na lima kwa rotation mzee wangu hua nalimaga vitunguu mwaka mzima kwa rotation yeye hua bei ikishuka kabisa anaweka kitalu hajali bei anauza kenya na ikishuka ikipanda yeye yumo hii ikikataa ingine italeta inafidia nyingine faida so kilimo ni sayansi ya kucheza na nyakati mkuuMkuu ukirudia kulima inakukata vibaya. Angalia hii trend
Mwaka 2018 viazi mviringo viliuzwa junia mpaka 70000 mwaka uliofuata junia lilikuwa 20000 tena kwa kubembeleza dalali. Mwaka 2020 junia lilicheza 45000 mpaka 30000 .
Mwaka huuu 18000. - 25000.
Unaiona teend hio. Unaweza tajirika vilevile unaweza filisika ndani
Mkuu sio wa kishua wala nn wazee wangu wafanyakazi wa kawaida tu serikalini ni walishtukaga mapema wakawekeza kwenye kilimo wakati huo watu wanaona kilimo utumwaMtoto wa kishua siyo?
Kunyanyuka kwako naona wazee wamehusika.Mkuu sio wa kishua wala nn wazee wangu wafanyakazi wa kawaida tu serikalini ni walishtukaga mapema wakawekeza kwenye kilimo wakati huo watu wanaona kilimo utumwa
Viazi huwa havilimwi kwa msimu, ni mwaka mzima. Kwa ishu ya viazi ni soko ndio linaloamua sio msimu.Mkuu nikupe siri usilime mazao ya msimu na kama utalazimika kufanya hivyo nenda kinyume chake wenzio wakiwa wanavuna ww panda wakiwa wanapanda ww vuna na lima kwa rotation mzee wangu hua nalimaga vitunguu mwaka mzima kwa rotation yeye hua bei ikishuka kabisa anaweka kitalu hajali bei anauza kenya na ikishuka ikipanda yeye yumo hii ikikataa ingine italeta inafidia nyingine faida so kilimo ni sayansi ya kucheza na nyakati mkuu
Hapo ndio Mungu anamuandalia kila mtu namna yake kulingana na uwezo snaojua yeye ameweka ndani yako,Shukuru wewe umepata support. Kuna wahuni tuko ground tunaanguka na tunasimama wenyewe.
Mkuu kumbe hawa viumbe ni hatari sana eti,Ushauri wangu
1 Usije wacha kilimo hio ndio ngazi ilio
kunyanyua.
2 Sijui maisha yako yalikuwa vipi na wazee wako wakati ukiwa na mke lakini waweke karibu zaidi. Nilicho jifunza kwenye dunia hii wazee tu wanataka ufanikiwe walobakia wanajua siri za nafsi zao.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hatari Sana broUmenifanya nicheke boss. Lakini huu ndio ukweli mchungu.
Heka ya maharage ya njano inatoa gunia ngap na mbegu n kias gan kwa hekaTunaendelea
Yaani kila baada ya siku kumi nilikua naingiza 2 milion+ na nilichuma michumo sita,wife alinikimbia kwa dharau sana alipoanza kusikia kwa madogo nimeanza kujikongoja akaanza rudi speed kuanza kuomba msamaha aisee nilimpiga block kila kona mwez wa sita nikaingia tena nikalima maharage ya njano napo mungu akasaidia nimevuna mwez wa tisa nikarudi mjini mungu ni mwema biashara yangu ilikua sio ya vitu vya kuoza niliviifadhi vizur nikaviombea kwa mtu pamoja na vitu vyangu vya home,sikukubali kuuza kitu changu hata kimoja kingine zaidi ya tv yangu ambayo iliniongezea hela ya kujazia mtaji wa shamba kiukweli wazazi ni watu pekee watakua na ww kwenye kila hali niamini mm wazee wangu walitoa sapot ya kila namna kipindi nimedrop sasa nimenunua tv nyingine kubwa 55inch nimefungua biashara nyingine ya pili mkoani kwetu ya kuonesha mpira uzuri ukumbi ulikuepo home mzee ana guest house kwa ndani kuna ukumbi so nikafungua hapo na sio haba wadau wapo ,hatimae maisha yamerudi tena kwenye mstari arakati zinaendelea inawezekana kuna mtu anapitia changamoto kubwa nakusihi usikate tamaa kamwe.
Heka ikihudumiwa vizuri inatoa gunia 5 net na mbegu mm hua sibananishi natumia sado 8 tu wengine wanatumia hadi sado 12Heka ya maharage ya njano inatoa gunia ngap na mbegu n kias gan kwa heka
Jana Kuna shamba nilienda kuona hvyo jumatatu nataka niamue trekta uende kulima Mana vuli unaanza sio muda kutoka sasa
Mbona inatoa gunia chache aisee huko n wapi unalimia.Heka ikihudumiwa vizuri inatoa gunia 5 net na mbegu mm hua sibananishi natumia sado 8 tu wengine wanatumia hadi sado 12
Mbona inatoa gunia chache aisee huko n wapi unalimia.
Huku wadau wanasema huwa wanaotesha kwa kutupa yan wakati shamba linavurugwa nyuma mtu wa mbegu anapita anafanya yake na mavuno wanasema heka inatoa kuanzia gunia nane sasa ndo Mana nataka kujua labda we unalimia wap niweze kuamua kabla ya kulima shamba
Umeona aiseeNaona unawinda kwa kasi ya 4G location ya mtoa mada
Mzee wako amekubeba sana yeye ndo wa kupewa pongez sio weweTunaendelea
Yaani kila baada ya siku kumi nilikua naingiza 2 milion+ na nilichuma michumo sita,wife alinikimbia kwa dharau sana alipoanza kusikia kwa madogo nimeanza kujikongoja akaanza rudi speed kuanza kuomba msamaha aisee nilimpiga block kila kona mwez wa sita nikaingia tena nikalima maharage ya njano napo mungu akasaidia nimevuna mwez wa tisa nikarudi mjini mungu ni mwema biashara yangu ilikua sio ya vitu vya kuoza niliviifadhi vizur nikaviombea kwa mtu pamoja na vitu vyangu vya home,sikukubali kuuza kitu changu hata kimoja kingine zaidi ya tv yangu ambayo iliniongezea hela ya kujazia mtaji wa shamba kiukweli wazazi ni watu pekee watakua na ww kwenye kila hali niamini mm wazee wangu walitoa sapot ya kila namna kipindi nimedrop sasa nimenunua tv nyingine kubwa 55inch nimefungua biashara nyingine ya pili mkoani kwetu ya kuonesha mpira uzuri ukumbi ulikuepo home mzee ana guest house kwa ndani kuna ukumbi so nikafungua hapo na sio haba wadau wapo ,hatimae maisha yamerudi tena kwenye mstari arakati zinaendelea inawezekana kuna mtu anapitia changamoto kubwa nakusihi usikate tamaa kamwe.
Uko mkoa gani?Mnaosema kwanini nimerudi town nimerudi mjini kusimamisha biashara yangu inendelee alafu pia kilimo ukitaka utoboe usilime kwa mihemko na uwe na biashara nyingine pembeni,
Kilimo kinahitaji timing kali sana ya kujua ulime nn kwa wakati gani ili unapoingia sokoni uuze kwa bei yenye manufaa ukitumia mihemko utarudi mikono kichwani alafu unapaswa uwepo asilimia 100 shamba so mm nimerudi town biashara iamke tena wakati nacheza na nyakati by January nitarudi tena shamba bila shaka kilimo ndio kitu nakifahamu kuliko kingine chochote nitafanya na nitafanya tena maji na ardhi ninavyo pia kupitia wazee wangu