Jinsi nilivyookoa simba asiuwawe na wananchi

Alipo haribu igizo lake ni kwenye neno "DHAMBWI" pengine angeandika ZAMBI tungesema haigizi...MUIGIZAJI TU HUYU KAMA KINA WEMA NA WENGINEO[emoji23]
Nami nimefikiri hivyo! Jamaa anatuchezea tu!
Hadithi yake ya hovyo kabisa, ila mimi nimevutiwa kuisoma mpaka mwisho, kutokana na uandishi wake wa kisanii!
 
Kwanini watoto wa bibi wanaruhusiwa kufungua uzi humu?
Ni kwa sababu mtoto wa bibi ni mzazi wako...pengine awe mamako mdogo au mkubwa...au mjomba[emoji56] na pia aweza kuwa babako mdogo au mkubwa ama shangazi...kama sio babako au mamako kabisa...mjukuu tulia mtoto wa bibiako ajiachie[emoji23]
 
Lafiki yagu kaniambia umu wanataka pincha za watu wa zaman iri uwonekane musomi. Kaka yagu simu yagu inazima betili hukiona sipo umu ujuwd betili imezima
 
Lafiki yagu kaniambia umu wanataka pincha za watu wa zaman iri uwonekane musomi. Kaka yagu simu yagu inazima betili hukiona sipo umu ujuwd betili imezima
Hamna huyo mchizi wako anakuzingua tu,rudisha picha ya Mr.Bean!
 
Hulimusaidia sana simba,yeye vipi hakukupa shukulani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…