Jinsi nilivyopata hofu baada ya kutembeza na Jimama

Kijana usipende kuuza mechi, usipende kusafiri bila nauli
 
Mi nilimtongoza ktk dalala alivyonipasiku moja sikuvutiwa nae tena sikumtafuta tena alinikera mno, alikuwa mlevi alikuja akatapika ovyo na k sio ya kiwango nilichotegemea
 
Alivyo mkuda huyu inaonekana ndio aliechezea kichapo
Jamaa alisema alimchapa ngumi za mbavu kisawa sawa hadi akambilia sime.

Na sime alipokonywa akachapwa ngumi mfululizo akawasha ki IST chake akakimbia[emoji1]
 
Jimama mke wa mtu,ana mtoto kama wewe afu kitu iwe tight,????!!!....NI UONGOOOOOOOOO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…