Jinsi nilivyopata magonjwa

Jinsi nilivyopata magonjwa

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Ilikua siku ya ijumaa kuamkia jmosi, kjana nikavuta pisi moja ina makalio makubwa hivi bas bhana ikafika home tukapiga story mbili tatu kama mnavyojua kweny jinsia mbili bas tendo la faragha likaanz

Nakumbuka niliweka album ya kondeboi ile Afroeast had ikaisha then nikaweka ya westlife nayo ikaisha kijana naipiga tu papuchi bila kupumzika naye alikua vzur maan ni mtu wa jogging style zote ziliwekwa. Nilipiga kimoja alafu nikaunganisha kingine cha pili juu kwa juu had cha tatu. Mechi iliisha 3-2.

Matokeo yake sasa siendi kazini siku ya pili najiuguza tu na nmetokwa na vipele vyeusi hapa kweny sehem ya mav**z
 

Attachments

  • Screenshot_20240910_141801_Messages.jpg
    Screenshot_20240910_141801_Messages.jpg
    174.6 KB · Views: 5
Mnafakamia tu ,,,,, usimuamini tu, tumia kinga ! Wewe unajiokotea tu huku malaya aliyechoka then unapiga kavu unakuja kuanika ujinga wako eti full time 3-2,,, kula chuma hiko
 
Pole na hongera sana, kutokana na hiyo chat ninyi mnapendana na mmeenjoy. Sasa chakufanya mkatibiwe hakikisha huyo carrier wako amepona muendelee kuenjoy.

Jitunzeni jamani kuna watu tunakaribia kuzeeka hatujawahi pata STDs, inawezekana vijana!
 
Chief unajua nini! Ondoa presha hivo vipele vimetokana na msuguano kati ya kinena na kinena na n kwasababu ulikaza saana.
Hvyo ondoa hofu upo mikono salama
Sema nini inabidi ujipongeze maana wanaume kama mimi tuko wachache wa kuunganisha bao tatu bila kuchomoa. Wengi sik hiz kimoja chali mpk abost na energy pluz paracetamol
 
Chief unajua nini! Ondoa presha hivo vipele vimetokana na msuguano kati ya kinena na kinena na n kwasababu ulikaza saana.
Hvyo ondoa hofu upo mikono salama
Sema nini inabidi ujipongeze maana wanaume kama mimi tuko wachache wa kuunganisha bao tatu bila kuchomoa. Wengi sik hiz kimoja chali mpk abost na energy pluz paracetamol
Ahsante sana mkuu ubarikiwe mno.Una busara sana ngoja CDM tuchukue dola tukupatie hata ukuu wa wilaya
 
Pole na hongera sana, kutokana na hiyo chat ninyi mnapendana na mmeenjoy. Sasa chakufanya mkatibiwe hakikisha huyo carrier wako amepona muendelee kuenjoy.

Jitunzeni jamani kuna watu tunakaribia kuzeeka hatujawahi pata STDs, inawezekana vijana!
Ahsante sana kwa nasaha zilizojaa busara. Kuhusu kupendana apo ndo tatizo me najua ntamtesa tu mdada wa wa2 maan nahisi bado sijaumaliza hata kidogo ujana wangu.
 
Back
Top Bottom