Jinsi nilivyopigwa na kampuni la kitapeli sunrach

Jinsi nilivyopigwa na kampuni la kitapeli sunrach

Pole sana, za kuambiwa changanya na za kwako...
 
Kuna wakati pamoja na maarifa mapana ya mambo ya uchumi na shahada ya uchumi unaweza kuingizwa mnini na vijana wa IT.Safari ilianza Kwa jamaa yangu Yuko njombe kunitumia list ya wanyama na bei zao uku akinishawishi kuwa yeye anapata laki na ishirini Kila siku sikuamin akanitumia miamala anayolipwa baada ya hapo na mm nikainstall hyo apps hapo ndipo nilipoingia shimoni baada yakuwekeza laki mbili wakawa wananipa elfu kumi Kila siku nikaanza kuona kama ni ishu ya maana lakini nakawa nauliza chanzo chao ni kipi Hadi waweze kulipa pesa hizo zote sikupata majibu ya kulizisha lakini Kwa kuwa maokoto yalikuwa yanaingia sikujali logic wiki ya mwisho kabla ya kampuni kutoweka kusikojulina niliwekeza million 2. zikapotea bila kuingizwa chochote.Hoja yangu hapa ni hii online ni sehemu hatari sana Kwa usalama wa pesa Kwa sasa inawezekana kwako isiwe kama ya sunranch watu watumia knowledge zao za IT sisi tuwekeze kwenye emotional control maana hizi biashara uchwara online zitaendelea kuwepo tu na Tanzania hatua hata regulatory agencies wa hizi issues .
Dili zote zinazotengeneza pesa kwa njia rahisi huwa ni za siri sana. Na mara nyingi kufaidika namba moja ni yule alieivumbua hiyo dili. Ukiona mtu anakufuafa anakubembeleza uingie kwenye mchongo wa njia rahisi ya kupiga hela jua kuwa anakupoteza.
 
Back
Top Bottom