sio picha ya kike tu halaf na msidiria mweusi anatuonesha . dah. its not fair bana. wengine laptop zetu za 3D
Kuna siku niliuliza the same question.... hii inafanya watu tushindwe kujua nadhani kuna umuhimu wa JF kuongeza sehemu ya, male au female sababu this is confusing mtu unaweza ukafanya kufuru bila kujua...
heheh mulefu bana! acha majazba bana kalaptopu kenyewe kataisha chaji muda si murefu.oya hata kama 3D hicho kilaptop chako kwan jina kuwez kusoma nimeandika MUREFU na mambo meng nnayooandika mbona ya kiume okay nitabadilisha picha ulizike sawa kijana
Mkuu kuna siku ulianzisha post kwanini wanawake wanapenda wanaume wafupi.... so how can I tell from that statement kama you are male or female...., hata hilo jina MUREFU halimaanishi kitu.... ungekuwa unajiita DUME hapo sawaoya hata kama 3D hicho kilaptop chako kwan jina kuwez kusoma nimeandika MUREFU na mambo meng nnayooandika mbona ya kiume okay nitabadilisha picha ulizike sawa kijana
Pipo ninaomba 2rud kwenye topic jaman 2achane na hayo ya picha nitabadilisha msaada plz
WanaJF mambo vp ni muda sasa yapata toka niachwe kwenye mataa mwaka jana cku moja kabla ya valentine day baada ya ex-mpenz wangu kunipga chn bila tatzo?. Nakumbuka ilikuwa sa nne cku moja kabla ya tarehe 14 febru ninakumbuka nilikuwa ninachat nae na sms ya mwsho kwake ilikuwa ni swal kwangu aliandika hv. MPENZ MFANO KESHO IKAWA MWSHO KAT YANGU MM NA WEWE JE UTAFANYEJE?. Kwa kwel nilikuwa nimechukulia masihara hvyo nilimjibu itakuwa poa tuu. Na cku ya valentine ilipo wadia nilijikongoja mpk sehemu 2lipo agana 2onane na hapo ndipo nilipopgwa chn mana cku amin m2 uliempenda anakugeuka kama hakujui. Na hv sasa anataka 2rudiane nae na ninaona jitihada zake nyng cjui anataka2rudiane cku ya valentine day je nifanyeje nisaidien mana nipo njia panda wanaJF
kaka ckatai na ndo mana nimesema mnanifungua macho mana ukipata ushaur ndo unajua nini cha kufanya mana mm kama mm ningejua chukuwa uamuz co sahihi ila kwa ushaur wako unanisaidia kuniweka pazur m2 wangu au co michelle bro?
Umeniboa,hata namna nilivyotoa ushauri nilijua wewe ni mwanamke.......weka picha ya mwanaume......au avatar ya mnyama.....
nipen muda kidogo am du that ma pipo so Sorry kama nimewapoa weng mana ckutegemea kufanya hvyo pipo sorry
Oopss... Sorry cjasoma jina ma dear sorry 4 that hope so
dah! mwenzio avatar ilikuwa imenipagawisha niko katika mikakati ya kurusha PM kumbe ni mdume! khaaa senks FL1.
sio picha ya kike tu halaf na msidiria mweusi anatuonesha . dah. its not fair bana. wengine laptop zetu za 3D