Jinsi nilivyopingwa chini Valentine Day

Jinsi nilivyopingwa chini Valentine Day

sio picha ya kike tu halaf na msidiria mweusi anatuonesha . dah. its not fair bana. wengine laptop zetu za 3D

oya hata kama 3D hicho kilaptop chako kwan jina kuwez kusoma nimeandika MUREFU na mambo meng nnayooandika mbona ya kiume okay nitabadilisha picha ulizike sawa kijana
 
Pipo ninaomba 2rud kwenye topic jaman 2achane na hayo ya picha nitabadilisha msaada plz
 
Kuna siku niliuliza the same question.... hii inafanya watu tushindwe kujua nadhani kuna umuhimu wa JF kuongeza sehemu ya, male au female sababu this is confusing mtu unaweza ukafanya kufuru bila kujua...

Mkuu nakubaliana na wewe, 100% Wekeni picha zinazoendana kidogo na uhalisia :sick:
 
oya hata kama 3D hicho kilaptop chako kwan jina kuwez kusoma nimeandika MUREFU na mambo meng nnayooandika mbona ya kiume okay nitabadilisha picha ulizike sawa kijana
heheh mulefu bana! acha majazba bana kalaptopu kenyewe kataisha chaji muda si murefu.
 
oya hata kama 3D hicho kilaptop chako kwan jina kuwez kusoma nimeandika MUREFU na mambo meng nnayooandika mbona ya kiume okay nitabadilisha picha ulizike sawa kijana
Mkuu kuna siku ulianzisha post kwanini wanawake wanapenda wanaume wafupi.... so how can I tell from that statement kama you are male or female...., hata hilo jina MUREFU halimaanishi kitu.... ungekuwa unajiita DUME hapo sawa
 
Pipo ninaomba 2rud kwenye topic jaman 2achane na hayo ya picha nitabadilisha msaada plz

Back to topic, Pigachini huyo hana dili, ukimrudia utaonyesha uzaifu mkubwa. au mrudie halafu action and reaction are equal but opposite....
 
WanaJF mambo vp ni muda sasa yapata toka niachwe kwenye mataa mwaka jana cku moja kabla ya valentine day baada ya ex-mpenz wangu kunipga chn bila tatzo?. Nakumbuka ilikuwa sa nne cku moja kabla ya tarehe 14 febru ninakumbuka nilikuwa ninachat nae na sms ya mwsho kwake ilikuwa ni swal kwangu aliandika hv. MPENZ MFANO KESHO IKAWA MWSHO KAT YANGU MM NA WEWE JE UTAFANYEJE?. Kwa kwel nilikuwa nimechukulia masihara hvyo nilimjibu itakuwa poa tuu. Na cku ya valentine ilipo wadia nilijikongoja mpk sehemu 2lipo agana 2onane na hapo ndipo nilipopgwa chn mana cku amin m2 uliempenda anakugeuka kama hakujui. Na hv sasa anataka 2rudiane nae na ninaona jitihada zake nyng cjui anataka2rudiane cku ya valentine day je nifanyeje nisaidien mana nipo njia panda wanaJF

Mimi nilimwagwa tarehe 12 Feb 1996 nikiwa mwaka wa pili, ilikuwa imekaribia test niliramba Fe ambayo ilikuwa Fe yangu ya pili, ya kwanza ilikuwa A'level ambayo teacher alikuwa anatulazimisha tuhudhulie tuition mimi nikaamua kupotezea akamaindi... Inauma sana kuachwa, na inauma zaidi kuachwa siku ambayo marafiki zako wote wanakuwa na wapenzi wao wewe una lost kinoma.

Msikilize na uchambue sababu za kukuacha na sababu zinazomfanya atake mrudiane halafu uamue, wakati mwingine second chance matters
 
avatar27209_1.gif
Huyu ndio muhusika kaka?
 
Mrudie ila mkapime kwanza, kuna Mtu mmoja aliachwa na mkewe, wakaja rudiana baada ya miaka 8! Mcheki kama analipa mrudishe! Kama kachoka, achana nae! Je huyo ulie nae sasa utampeleka wapi?
 
kaka ckatai na ndo mana nimesema mnanifungua macho mana ukipata ushaur ndo unajua nini cha kufanya mana mm kama mm ningejua chukuwa uamuz co sahihi ila kwa ushaur wako unanisaidia kuniweka pazur m2 wangu au co michelle bro?

Soma majina ya watu MUREFU,mimi ni mwanamke na najivunia kuwa mwanamke.....usiniite kaka my dear....Michelle ni jina la kike.....
 
Umeniboa,hata namna nilivyotoa ushauri nilijua wewe ni mwanamke.......weka picha ya mwanaume......au avatar ya mnyama.....
 
Umeniboa,hata namna nilivyotoa ushauri nilijua wewe ni mwanamke.......weka picha ya mwanaume......au avatar ya mnyama.....

Ah michelle nimeipenda hii avatar. It so passionate
 
Soma majina ya watu MUREFU,mimi ni mwanamke na najivunia kuwa mwanamke.....usiniite kaka my dear....Michelle ni jina la kike.....

Oopss... Sorry cjasoma jina ma dear sorry 4 that hope so
 
Umeniboa,hata namna nilivyotoa ushauri nilijua wewe ni mwanamke.......weka picha ya mwanaume......au avatar ya mnyama.....

nipen muda kidogo am du that ma pipo so Sorry kama nimewapoa weng mana ckutegemea kufanya hvyo pipo sorry
 
nipen muda kidogo am du that ma pipo so Sorry kama nimewapoa weng mana ckutegemea kufanya hvyo pipo sorry

Uwe na amani....unajua hata kule kwa thread ya Arsenal tunajua wewe ni mwanamke.....poa badilisha kaka....tuko pamoja....tutaendelea na maushauri......:coffee:
 



Na elia ni yupi aliyepanda au aliye pandwa?
 
kabla hujaamua vya kuamua,mwambie utampa jibu,baada ya valentine,maana bado unakumbuka machungu yaliyopita.wasichana wengine hawana msimamo.maybe alikoenda mwaka tu,kumeshamchosha,au msumbue kidogo kumpima akili yake,maybe anataka marudiano kipindi cha valentine tu,or maybe ameshajifunza kosa lililomfanya akubwage mwaka jana
 
dah! mwenzio avatar ilikuwa imenipagawisha niko katika mikakati ya kurusha PM kumbe ni mdume! khaaa senks FL1.




Kweli kabisa baba nimekubali kuwa once a soldier always a soldier,naona mwanaume ulishataka kuingia kazini....................hahahahahahaa.
 
Back
Top Bottom