MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 352
WanaJF mambo vp ni muda sasa yapata toka niachwe kwenye mataa mwaka jana cku moja kabla ya valentine day baada ya ex-mpenz wangu kunipga chn bila tatzo?.
Nakumbuka ilikuwa sa nne cku moja kabla ya tarehe 14 febru ninakumbuka nilikuwa ninachat nae na sms ya mwsho kwake ilikuwa ni swal kwangu aliandika hv. MPENZ MFANO KESHO IKAWA MWSHO KAT YANGU MM NA WEWE JE UTAFANYEJE?.
Kwa kwel nilikuwa nimechukulia masihara hvyo nilimjibu itakuwa poa tuu. Na cku ya valentine ilipo wadia nilijikongoja mpk sehemu 2lipo agana 2onane na hapo ndipo nilipopgwa chn mana cku amin m2 uliempenda anakugeuka kama hakujui. Na hv sasa anataka 2rudiane nae na ninaona jitihada zake nyng cjui anataka2rudiane cku ya valentine day.
Je, nifanyeje nisaidien mana nipo njia panda wanaJF
Nakumbuka ilikuwa sa nne cku moja kabla ya tarehe 14 febru ninakumbuka nilikuwa ninachat nae na sms ya mwsho kwake ilikuwa ni swal kwangu aliandika hv. MPENZ MFANO KESHO IKAWA MWSHO KAT YANGU MM NA WEWE JE UTAFANYEJE?.
Kwa kwel nilikuwa nimechukulia masihara hvyo nilimjibu itakuwa poa tuu. Na cku ya valentine ilipo wadia nilijikongoja mpk sehemu 2lipo agana 2onane na hapo ndipo nilipopgwa chn mana cku amin m2 uliempenda anakugeuka kama hakujui. Na hv sasa anataka 2rudiane nae na ninaona jitihada zake nyng cjui anataka2rudiane cku ya valentine day.
Je, nifanyeje nisaidien mana nipo njia panda wanaJF