Jinsi nilivyotaka kutapeliwa kwenye Crypto-Currency: Chukua Tahadhari, itakusaidia

Mwenye experience na Bitcoin Loophole atupe ushauri?
 
Umeanza vizuri mwishoni mbwembwe zimezidi hadi umeharibu!
Kama unafahamu kutrade crypto on daily basis aka ku-scalp utatengeneza pesa, kama hujuhi kutrade basi invest kwa muda mrefu yaani hold hiyo position yako ulipie commission ya broker, interest...na bado coin ishuke thamani na upigwe! Wakati anayetrade ikishuka anauza, ikipanda ananua....kila siku analaza faida!

Tuache uvivu, tusome na tuwe na angalau na basics za macroeconomics!
 
Ujinga wako tu usisingizie cryptocurrency mbona hata kwenye vitunguu na viwanja mnapigwa ko vitunguu ni scarm ,acha ujinga kiongozi
Daa mkuu kuanzia wiki hii sijacheka zaidi Kama leo.
Tena usiku.
Watu wanauziwa Sana viwanja na tapeli.
Kuna rafiki yangu aliuziwa kiwanja 13M Tena wakauziwa wengi.
Akaenda court akapata tu Kama 6M akaamua kusamehe.
Tena aliyewakamatisha ni kiongozi wa mtaa mwenyekiti.
Utapeli upo kila Kona.
Hata demu hata demu anakupiga hela ya kutolea mimba afu 50K so Kama mko kumi hesabu.
Sema wanadhani mtandaoni sio Hawa Hawa watu matapeli wako huko pia.
 
😂😂Polee ndugu. Ila hakuna mentor duniani atakayekufata wewe duniani while he make alot of money kingine hawa wanaokupa namba zinazoonyesha Ni states wengi Ni wanigeria na huenda wapo states au wasiwepo u.s.a hakuna nchi ina scammers wengi Kama Nigeria japo kila sehemu wapo. But keep grinding and don't stop to learn.
 
HONGERA KWA KUGUTUKA MKUU

Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa
 
Mkuu Mimi nakwambia 2030 utakuja kujuta kwanini ulipuuzia crypto currency .....
Siwezi kujutia kwa sababu life goes on kwa miradi yangu

Hata 2008-2010 wadau wa bitcoin wakati inaanza anza waliniambia maneno unayoniambia nikapuuzia na sasa hivi maisha yanaendelea and i don't care nafanya yangu, sitegemei hela za miujiza

Kwanza kwa maisha gani nianze kuweka hela nianze kuisikilizia leo inapanda kesho inashuka, maisha niliyonayo yanatosha ilimradi naingiza kipato halali na familia yangu hailali njaa na miradi inaendelea

Financial freedom niliyo nayo inanitosha chief kwa hiyo siwezi kujutia kwa hela za kubeti na za kudownload!
 
Pointless
 
Wanaijeria kiakiri wapo kama wachina, wanambinu nyingi sana za wizi. Na niwatu wenye akili kinoma
 
Yaaani kumbe 2009 wakati Bitcoin inawekwa sokoni ulikaza kichwa hivi hivi na Bado hujutii ...

Mkuu Mimi sitaki kusema mengi ila wewe ni maskini jeuri tu ....

Kwa taarifa yako ungenunua hata BTC 7 enzi hizoo ungekuwa na hela ya kula wewe na familia yako mpaka unakufa bila kufanya kazi ....

ila kwa vile una umaskini wa kiburi na jeuri ,endelea hivo hivo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16]
 
HAYA WEWE KAMA UNA HELA YA KULA YA BITCOIN NA CRYPTO NA FAMILIA YAKO MPAKA UNAKUFA BILA KUFANYA KAZI UNATAFUTA NINI HUKU JF SASA? KAMA SIO KUJA KUCHOTA RAIA TU

UMASIKINI JEURI NA KIBURI MY FRIEND SIPO HUKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…