Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitapeliwa kizembe sana umesema ulihakikisha yupo mbele "ror close monitoring" ikawaje ukamwacha tena nyuma wewe ukawa mbele ulimshawishi akuibie.Rejea kusoma tena nilichokiandika utapata jibu la swali lako
[emoji58][emoji58][emoji56]Niliuziwa Samsangi galaksi pro afu tano
Nimefulia nguo chache tu ikaisha
Jamaa mvivu kusoma manual, mvivu kubeba radio, ilikuwa anaalika kupigwa yeye mwenyewe kwa uvivu wake.Du, ulikuwa kama wazee wa kijijini. Ku-set bass mpaka urudishe dukani? Umenikumbusha miaka ya nyuma mjomba alikuwa na zile redio cassette za zamani hizo. Nyumba nzima hakuna aliyekuwa anaweza kuitumia isipokuwa yeye.
Hii ndo njia yenyewe sasa,usifanye mazoea na mtu yoyote kkoo kama humjui hata wale wauza mifuko sio wa kuwaamini.pale kkoo kuna watu kazi yao kuchora watu ili wawaibieNjia sahihi ya kutembea Kariakoo ni kuwa serious sana, na usiongee na watu hovyo hovyo.