Pole sana,.mi kuibiwa ilikua hapo Morocco hoteli migo.
Nilipigwa roba ya mbao enzi hizo na na majanki wa3.
Hela nilikua nazo dola,za kibongo na pamba kali,kuna saa ya mjerumani gorenthe nilipewa zawadi tu.
Thamani yake ilikua zaidi ya milioni 2 miaka hiyo.
Waliiba vyote.
Sasa katika kuuza saa mwizi connection kaletwa kwangu tena,
Aniuzie
Na saa ni yangu.
Kumbe hawakujua sie tulikua wastaafu tu wa matukio.
Tulipomkamata yule janki na ile saa baasi.
Tulitambaa nae na kupata kichapo mpaka atuonyeshe wenzie.
Hapo mi nataka hela zangu.
Tukawavamia chimbo lao hao hapo.
Sijui hata siku hiyo tulifanya nini.
Hela hatukupata ila walikiona cha moto.