Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Hakuna sehemu nimekuita muongo. Nimesema umaskini wa fikra mbaya sana, you lack comprehension skill and it clearly shows. No wonder unaamini huu upuuuzi. Carry on.
Ww ndio utakua mpuuzi wakiwango cha lami kama maandiko matakatifu Yana Kili uchawi upo ww ni nani upinge.
 
Ww ndio utakua mpuuzi wakiwango cha lami kama maandiko matakatifu Yana Kili uchawi upo ww ni nani upinge.

Matakatifu according to who? Mimi maandiko yangu matakatifu ni story za Shigongo.
 
Mazingira ya namna hiii yalishawahi nitokea... nikaeleza wana jamii forum.. cha ajabu wakanikaripia sana na kunieleza wazi kuwa, nimeshiba maharage yaliyo chacha maana hakuna vitu vya namna hiyo....
Kwa upande wako ilikuwaje mkuu,naomba unisimulie kwa faida yangu mkuu..napenda kujifunza
 
Uchawi upo popote, Kama upo tayari kujifunza ingia playstore pakua app inaitwa KAYSA.
Hii app ni maalum kwa ajili ya kutabiri mambo ya mtu ya mbeleni.. Nilishaitumia Ila baadaye niiliifuta maana niliona ingeniletea mtafaruko.
Oy inatabirije hyo app?
 

Si ungrmpiga dudu kila

Si unge mpiga Dudu tu au alikuwa avutii iyo mama wa rafiki
🤣🤣
 
Ila imani ya za kichawi hazipo Tanzania tu zipo hadi kwa wenzetu huko waliko endelea na wengi wamesoma sio wajinga kama sisi.
 
Ila hata wenye kusema hakuna uchawi nao utagundua nao wana matatizo hayo hayo, ukifuatilia hoja zao utagundua wote hakuna hata mmoja aliyewahi kuchunguza matukio yenye kuitwa uchawi na hawajawahi katika maisha yao kukutana na mambo yenye kuhusishwa na uchawi yani si wao wala ndugu wala rafiki zao. Kwahiyo wao hoja yao ni kwamba hakuna uthibitisho tu basi ila huwezi kukuta wanaelezea matukio waliyowahi kukutana nayo ambayo yalihusishwa na uchawi ila wao walikuja kugundua haikuwa uchawi kama ilivyoaminika.
 
Shida ilivyo hata huyo anayesema leo hakuna uchawi ikatokea akaja kukutana na mambo ambayo yeye binafsi akakubali kweli uchawi upo, basi hata akija kuelezea humu aliyoshuhudia bado itaendelea kuonekana hakuna uchawi kwa wenye kupinga uchawi.
 
Nakazia hoja. Hakuna cha uchawi wala majini. Vyote hivyo ni FICTION
Tueleze zaidi unachokijua kuhusu huko kutokuwa na uchawi wala majini, pengine watu wataelewa sasa kuwa kumbe walichodhani ni majini si majini bali ni nini au wanachodhani ni uchawi si uchawi bali kitu gani hasa.
 
Huwa najiuliza hivi hizo tekinolojia kwanini zisitumike kutuletea maendeleo, au zikawa kama silaha dhidi ya mataifa makubwa hayo yenye dhuluma na ushenzi wa kila aina?
Picha linaanza serikali haziamini uchawi na hata zile serikali zenye kuamini uchawi zimeweka sheria kali kwa wenye kujihusisha na uchawi. Na hii sio kwa uchawi tu kuna vyengine vingi tu ambavyo havizingatiwi sana kwa sababu tu havipo kisayansi zaidi japo vimefanya makubwa kama Dowsing.
 
Uchawi upo..
Ila kuamini mpaka yakutokee kama wanavyohadithia wakuu hapo juu.Ila kama hayajakukuta hiwezi amini.
Wengi humu sio kwamba hawaamini uchawi kwa sababu haujawatokea bali ni kwa sababu wanadai hakuna uchawi, na hiyo hutokana na kusimamia msimamo wa kutoamini supernatural.
 
Kwa upande wako ilikuwaje mkuu,naomba unisimulie kwa faida yangu mkuu..napenda kujifunza
Ilikuwa usiku wa manane, hapo nimelala ghorofa ya 4 jengo (naliweka kapuni, mtaa (nauweka kapuni) lakini ni mkoa wa dar es salaam......

Wakani nimelala ghafla nikashtuka, nikawa kama nauwoga flani hivi... nikawa najiuliza mbona natetemeka hivi... ikabidi nijigeuze upande wa pili... nikaona kama kivuli cha jitu ukutani.. dooh! Moyo ukapiga paah! Si unaelewa hofu tena,, nilitulia hivyo kama nilivyo geuka nikajifanya nimelala, lakini nimefumbua macho kwa mbaali huku naomba kwa imani yangu... hapo nipo stand by nikiona sielewi nitoke speed... wakati naendelea kuomba (wakati naomba kuna muda maneno yalikuwa hayatoki aiseh) lakini nilikaza, baadae nikaona kama lile jitu linaelekea chooni... daah! Asubuhi yake nikasema hii nyumba sikai... sikukaa sana.. nikaondoka.
 
Aisee,noma sana, haya mambo yapo...
 
Ungona choo hapo nje ukakitumia hapo ndio ungeamini kua ulikua unaota.
 
Kwahiyo usiku watu wanakabwa koo na drones?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…