Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
I had this experience....
Nyumba yetu ilikuwa iko karibu na bahari ... wakati wa usiku mwingi ninapenda kupanda balcony ghorofani kuvuta fegi.....mbele ya uzio wa nyumba ni barabara kubwa ,niliona washkaji wawili wamesimamisha pikipiki (250 XLR)...pembeni yao kulikuwa na demu wanamuongelesha....mara nikaona pikipiki imeondolewa kasi huku yule aliyekuwa ameshuka chini kuongea na Cutie akamdandia mwenzake mgongoni wkt pikipiki inaondoka hapo....nikawa ninamuangalia yule demu na barabarani taa zilikuwa ni kali tu ....ghafla demu akapotea...ilihali pembeni yake kulikuwa na kuta za nyumba pande zote....nilitupa kichungi nikakimbilia chumbani kujifunika mashuka....
Hizo mbanga zipo wakuu....
Nyumba yetu ilikuwa iko karibu na bahari ... wakati wa usiku mwingi ninapenda kupanda balcony ghorofani kuvuta fegi.....mbele ya uzio wa nyumba ni barabara kubwa ,niliona washkaji wawili wamesimamisha pikipiki (250 XLR)...pembeni yao kulikuwa na demu wanamuongelesha....mara nikaona pikipiki imeondolewa kasi huku yule aliyekuwa ameshuka chini kuongea na Cutie akamdandia mwenzake mgongoni wkt pikipiki inaondoka hapo....nikawa ninamuangalia yule demu na barabarani taa zilikuwa ni kali tu ....ghafla demu akapotea...ilihali pembeni yake kulikuwa na kuta za nyumba pande zote....nilitupa kichungi nikakimbilia chumbani kujifunika mashuka....
Hizo mbanga zipo wakuu....