Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Mimi nmekujibu wewe,
Jibu wewe kama wewe ambaye unapinga uwepo wa maswala ya uchawi, Simama wewe kama wewe

Yeye pia atasimama yeye kama yeye.
Naam! Kama umefuatilia comments zangu kwenye mada hii ni wazi kwamba mimi sikubaliani na wala siamini Uchawi upo. Kwa muktadha wa hoja yako nisimame mm kama mm ni kwamba hapa unaunda aina fulani ya viscous circle kwa maana yupo i.e. wewe anayedai Uchawi upo lakini hawezi kuthibitisha kuwepo kwa uchawi ila anawaelekeza wapinzani wa hoja hiyo eti waende kwa ghara zao mikoa mbalimbali wakajithibitishie. i.e. wewe umejivua jukumu hilo. Waliokwenda huko kunakodaiwa wapo wabobobezi wa fani hiyo wamerudisha mrejesho kwamba hawakuona lolote bado unai-narrow down hoja kwamba ni mtu binafsi ndo aende. Dah! Ni mpaka waende wangapi? Wewe bro nakukubali. Una akili sana kwamba sasa unachomokaje hapo. Eti kila mmoja asimame yeye binafsi. Wewe umejikalia zako pale kwa mangi unakunywa soda.
 
Naam! Kama umefuatilia comments zangu kwenye mada hii ni wazi kwamba mimi sikubaliani na wala siamini Uchawi upo. Kwa muktadha wa hoja yako nisimame mm kama mm ni kwamba hapa unaunda aina fulani ya viscous circle kwa maana yupo i.e. wewe anayedai Uchawi upo lakini hawezi kuthibitisha kuwepo kwa uchawi ila anawaelekeza wapinzani wa hoja hiyo eti waende kwa ghara zao mikoa mbalimbali wakajithibitishie. i.e. wewe umejivua jukumu hilo. Waliokwenda huko kunakodaiwa wapo wabobobezi wa fani hiyo wamerudisha mrejesho kwamba hawakuona lolote bado unai-narrow down hoja kwamba ni mtu binafsi ndo aende. Dah! Ni mpaka waende wangapi? Wewe bro nakukubali. Una akili sana kwamba sasa unachomokaje hapo. Eti kila mmoja asimame yeye binafsi. Wewe umejikalia zako pale kwa mangi unakunywa soda.
😅 kumbuka lengo ni kupata uthibitisho, Mimi natamani wewe ujionee wewe mwenyewe

Sijahitaji nijikite kwenye mabishano kwasababu hatuwezi kufikia tamati,

Haya mambo ni magumu mno yanahitaji ushuhuda wa mtu binafsi, That's why sio rahisi kuelewa/kuwaelewa watu ambao wameshudia mambo kama haya

Binafsi yangu nlikua siamini kama ilivyo wewe kwa miaka mingi tu, Lakini kwa sasa imekua tofauti ( Hapa wala sitahitaji kuelezea kipi kilifanya nikatambua kuwa haya mambo yapo )
 
Ina maana nyinyi mnaopinga ndio mpo sahihi sana ? Kwanini yeye umemuamini haraka haraka kuwa hakuona

Ila mtu mwingine akileta kisa chake namna alivyoshuhudia jambo la ajabu unampinga

Why ?
Simpingi kwa maana ya kukataa tuu just like that, bali ninahoji ili niweze kubaini authenticty ya hoja yake ili nijiridhishe kama kuna ukweli wowote.
Je, ingekuwa ni wewe ungekubali tuu kichwa-kichwa? Bila shaka ungejiuliza maswali mengi na pengine ungetaka kupata uthibitisho au sio.
Sasa kama uthibitisho haupatikani inakuwaje? au unaambiwa eti uende huko ww binafsi.
 
😅 kumbuka lengo ni kupata uthibitisho, Mimi natamani wewe ujionee wewe mwenyewe

Sijahitaji nijikite kwenye mabishano kwasababu hatuwezi kufikia tamati,

Haya mambo ni magumu mno yanahitaji ushuhuda wa mtu binafsi, That's why sio rahisi kuelewa/kuwaelewa watu ambao wameshudia mambo kama haya

Binafsi yangu nlikua siamini kama ilivyo wewe kwa miaka mingi tu, Lakini kwa sasa imekua tofauti ( Hapa wala sitahitaji kuelezea kipi kilifanya nikatambua kuwa haya mambo yapo )
Umebarikiwa ww uliyepata bahati hiyo adimu ya kuthibitisha uwepo wa Uchawi.
Nasubiri labda zamu yangu itakuja. Lakini mpaka sasa naamini HAUPO Uchawi.
 
Mwaka 2012 nilikuwa na geto chumba changu kipo usawa wa barabarani. Siku moja nimelala nikasikia sauti ya mkwaruzo kule barabarani wa ile watu kama wanafagia nikajiuliza inamaana ndio kumekucha?
chap nikainuka kuchukua sim niangalie saa nikakuta ni saa nane dk mbili nikajiuliza nani anafagia sasa muda huu? nikainuka kuelekea upande wa dirisha nikafunua pazia..
aisee nilichokishuhudia macho hayakuamin mpaka leo!
niliona watu wanafagia barabarani kilichonishangaza ni kwamba watu wanafagia barabarani halafu namna ya mjongeo wao wanatembea kinyume nyume!
niliwaza sana nini nakiona ama naota nikafikicha macho kuona vizuri.. ni watoto wamama na wanaume wachache kilikuwa kama kikundi cha watu zaidi ya 10 wanafagia wanatembea kinyume nyume kwenda kuzoa taka.
nikasema ngoja niende sebleni nicheki kwa engo nyingine.. nhee! si nikajigonga kwenye mavyombo nikasikia pametulia tulii! kwenda kufungua pazia nione tena nakuta peupe hamna mtu yani ndan za sekunde chache watu wamepotea. nikalala zangu huku nimejawa na hofu
Eeh aisee ndani ya sec watu hawapo😆
 
Hatare.
Kuna wale jogoo anarushiwa punje za mchele.

Anakula then anachinjwa zinahesabiwa kafara zipo za aina nyingi Sana..

Ila watu ni wabishi Sana hasa hasa wabongo walio MAJUU.

Una umri gani? You must be as dumb as a brick.
 
Umesema ukitaka kumficha muafrica muwekee maarifa kwenye vitabu, Inawezekana upo sahihi kabisa

Kwani hata vitabu vya mambo ya kishetani vipo, vitabu ambavyo vimejaa maneno ya kichawi "sigil" jinsi ya kufanya rituals, Jinsi ya kuita majini

Na mambo mengine meengi mengi....Je wewe umewahi kusoma hivyo vitabu ?

UDSM hapo wakiongozwa na Dr. Richard Sambaiga walifanya utafiti juu ya ushirikina TZ nzima wakaishia kuhitimisha hakuna uthibitisho. Tafuta andika lao.

Mtu kufanya matambiko, kuandika, kusema, kuamini kama uchawi upo hakufanyi uchawi wenyewe kuwepo. Unaweza amini wewe ni paka hakufanyi wewe kuwa paka kweli.

Ukitoa story za kijinga za hearsay sijui nani alifanya hivi au vile na imani za kijinga uchawi haupo. Hakuna mtu hata mmoja atakuonyesha ushirikina zaidi ya kutoa excuses laki1. Tumeomba humu turogwe mwaka wa 10 sasa ni excuses tu, huwezi kuona mtu anapaa au anatokea ukutani hata siku moja maisha yako yote zaidi ya kulishana upuuuzi tu.
 
Ndugu zangu wa JamiiForums, napenda kushiriki nanyi tukio la kushangaza lililotokea maishani mwangu, ambalo lilinionyesha wazi kuwa uchawi upo! Mpaka leo nikikumbuka usiku ule, mwili hunisisimka na maswali hayaishi kichwani mwangu.

Usiku wa Ajabu

Ilikuwa ni usiku wa manane, saa nane hivi. Nyumba ilikuwa kimya kabisa, kila mtu amelala, lakini ghafla niliamka nikiwa na hisia ngeni. Kulikuwa na ukimya wa ajabu, ukimya ambao hukufanya usikie hata sauti ya mapigo ya moyo wako. Nilihisi kama kuna mtu au kitu ndani ya chumba changu, ingawa mlango ulikuwa umefungwa na madirisha yakiwa salama.

Niliinama kidogo nikatazama chini ya kitanda—hakukuwa na kitu. Nikanyanyuka taratibu na kuwasha taa ya simu yangu, kisha nikapeleka macho dirishani. Ndipo nikamuona mtu akisimama nje ya nyumba yangu, umbali wa kama mita tano, akiwa hana kiatu na amevalia mavazi meupe yaliyochafuka. Uso wake haukuwa wazi, lakini mwili wake ulikuwa umetulia kimya bila hata kusogea.

Nilihisi hofu ikianza kunizidia, lakini nikajipa ujasiri. “Labda ni mwizi,” nilijiambia, nikachukua fimbo yangu ndogo niliyokuwa nayo chumbani. Nikaamua kumfuata taratibu ili nione kama kweli ni mtu wa kawaida au kuna jambo lingine.

Tukio Lisiloeleweka

Nilipofungua mlango na kutoka nje, cha kushangaza ni kuwa mtu yule alionekana kama vile anateleza ardhini badala ya kutembea! Hakutembea kwa miguu kama binadamu wa kawaida. Niliendelea kumfuata kwa tahadhari, lakini kila nilipomsogelea, alionekana kusogea mbali zaidi bila hata kukimbia.

Nilipojaribu kupiga kelele ili majirani wasikie, sauti yangu haikutoka! Nilihisi kama koo langu limefungwa ghafla, kama mtu aliyebanwa na mkono wa ajabu! Hofu ilinizidi, nikaanza kurudi nyuma haraka kuelekea ndani. Nilipofika mlangoni na kugeuka kutazama tena, yule mtu alikuwa ametoweka ghafla—kana kwamba hakuwahi kuwepo!

Ushahidi wa Ajabu

Siku iliyofuata asubuhi, nilipowaeleza majirani kuhusu tukio hilo, baadhi yao waliniambia kuwa jirani yetu mmoja alifariki usiku huo huo nikiwa napambana na kiumbe kisichoeleweka! Inasemekana mtu huyo alikuwa anahusishwa na vitendo vya ushirikina na alishawahi kushukiwa kuwa mchawi wa mtaa.

Kwa hakika, tangu siku hiyo, niliamini kuwa kuna vitu ambavyo akili ya kawaida haiwezi kuelewa. Mpaka leo, sijui yule mtu alikuwa nani hasa, wala alitowekaje bila hata kusikika. Uchawi upo ndugu zangu, na mimi nimeshuhudia kwa macho yangu!

Je, umewahi kukutana na tukio kama hili? Niambie!
Wajuaji watakwambua unaota au una malaria plus bin plus.
 
UDSM hapo wakiongozwa na Dr. Richard Sambaiga walifanya utafiti juu ya ushirikina TZ nzima wakaishia kuhitimisha hakuna uthibitisho. Tafuta andika lao.

Mtu kufanya matambiko, kuandika, kusema, kuamini kama uchawi upo hakufanyi uchawi wenyewe kuwepo. Unaweza amini wewe ni paka hakufanyi wewe kuwa paka kweli.

Ukitoa story za kijinga za hearsay sijui nani alifanya hivi au vile na imani za kijinga uchawi haupo. Hakuna mtu hata mmoja atakuonyesha ushirikina zaidi ya kutoa excuses laki1. Tumeomba humu turogwe mwaka wa 10 sasa ni excuses tu, huwezi kuona mtu anapaa au anatokea ukutani hata siku moja maisha yako yote zaidi ya kulishana upuuuzi tu.
Kwa mifano yako ya mtu kupaa na kutokea ukutani,

Pengine mimi na wewe tuna uelewa tofauti kuhusu maana ya neno "uchawi"
 
Kwa mifano yako ya mtu kupaa na kutokea ukutani,

Pengine mimi na wewe tuna uelewa tofauti kuhusu maana ya neno "uchawi"
Woy! Bufa amekupeleka mpaka kwenye Tafiti zilizofanyika hapa hapa Bongo na matokeo yake i.e. walivyohitimisha utafiti wao. Sasa unageukia kutafuta malumbano na makubaliano ya maana ya neno "Uchawi." Ndo zenu hizo - hakuna Uchawi ila kuna kutishana-tishana kwa kitu ambacho HAKIPO narudia tena; HAKIPO.
 
Woy! Bufa amekupeleka mpaka kwenye Tafiti zilizofanyika hapa hapa Bongo na matokeo yake i.e. walivyohitimisha utafiti wao. Sasa unageukia kutafuta malumbano na makubaliano ya maana ya neno "Uchawi." Ndo zenu hizo - hakuna Uchawi ila kuna kutishana-tishana kwa kitu ambacho HAKIPO narudia tena; HAKIPO.
Yani mimi nliyeshuhudia mambo ya kichawi wazi wazi, Leo hii nkasome tafiti ya mtu mwingine ili kuelewa madai yako wewe ambaye hauamini

Nadhani ntakua ni mtu nsiye na akili timamu au ambae siamini utimamu wangu wa akili

Na sitakua tofauti na wazee wetu wa zamani ambao walibeba wazungu kuwapeleka ( mfano mlima kilimanjaro ) ili wakaugundue
 
Back
Top Bottom