Jinsi nilivyotokea kuvutiwa na mbuzi

Jinsi nilivyotokea kuvutiwa na mbuzi

Kwa hiyo unataka kusema katika wahuni wote wa dar wewe ndio muhini ulie pitiliza na wale wengine mafala au sio Bwana mkubwa mwenye kagari kake.........? [emoji1][emoji1]
mimi ni mwamba mixer chuma
 
Ngoja uanze kulia kama mbuzi, uote mapembe, na mkia kama yule jamaa alobeba mke wa mtu.... Utaanza kupandwa na mabeberu.... Sipat picha jinsi utakua mbuzi mrembo.... Mabeberu yote ya mtaani yataanza kukufukuzia[emoji28]
acha zako basi
 
Ukiwa

Ukiwamaliza kuwala hao Mbuzi wa Temeke, njoo Tegeta kwa Ndevu na Kibaoni, Njoo uwale na hao...!

Nakutahadharisha tu Mbuzi hawa wa Tegeta wanavuka Barabara kwenye Zebra.
pamoja sana mkuu
 
nani ashawahi kupisha msururu wa Bata upite? wana maringo hao 🤣
Umenikumbusha animation ya Angry birds jinsi Red alivyokua anachukia kusubiri vibata vivuke barabara..Basi anachukia
7PUw.gif

angry birds cross walk flag from the movie 2016 f.jpg
 
Back
Top Bottom