Loudspeaker
Member
- Feb 8, 2021
- 88
- 107
Safi,,endelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sisomi tena kumbe ni chai tu kama chai zingine😆😆....Pia tumia muda kujipanga zaidi ili kutoka kiutu cha Uhakika zaidi.
Unaposema shughuli ilikuwa mwaka 1975 kwenye shughuli ya kumtoa Mwali ambaye alikuwa Dada yako na ambaye sasa ana miaka 75, ina maana wakati wa Shughuli yake ya 'Kumtoa Mwali' alikuwa na miaka 30!!
Huyo alikuwa ni Mwali ama Mke wa MTU???
Jipange
Hili hata mimi nililiona....Pia tumia muda kujipanga zaidi ili kutoka kiutu cha Uhakika zaidi.
Unaposema shughuli ilikuwa mwaka 1975 kwenye shughuli ya kumtoa Mwali ambaye alikuwa Dada yako na ambaye sasa ana miaka 75, ina maana wakati wa Shughuli yake ya 'Kumtoa Mwali' alikuwa na miaka 30!!
Huyo alikuwa ni Mwali ama Mke wa MTU???
Jipange
watu wa zamani sana wengi wao hawajui miaka yao halisi ,hususa wale ambao hawakuenda shule .Huwa wanaweza kukutajia tu kipindi ,msimu au matukio ww ndio utang'amua umri wa makadilio wa mtu huyo kama haufahamu kuhusu matukio au vipindi hivyo vilitokea lini unaweza kushindwa hata kukadiria umri halisi.....Pia tumia muda kujipanga zaidi ili kutoka kiutu cha Uhakika zaidi.
Unaposema shughuli ilikuwa mwaka 1975 kwenye shughuli ya kumtoa Mwali ambaye alikuwa Dada yako na ambaye sasa ana miaka 75, ina maana wakati wa Shughuli yake ya 'Kumtoa Mwali' alikuwa na miaka 30!!
Huyo alikuwa ni Mwali ama Mke wa MTU???
Jipange
Ngoja hii comment niiweke kumbukumbu 😂😂😂😂....Pia tumia muda kujipanga zaidi ili kutoka kiutu cha Uhakika zaidi.
Unaposema shughuli ilikuwa mwaka 1975 kwenye shughuli ya kumtoa Mwali ambaye alikuwa Dada yako na ambaye sasa ana miaka 75, ina maana wakati wa Shughuli yake ya 'Kumtoa Mwali' alikuwa na miaka 30!!
Huyo alikuwa ni Mwali ama Mke wa MTU???
Jipange
HahahaNgoja hii comment niiweke kumbukumbu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@Chizimaarifa katuacha na AlostoSasa hivi huyo dada ana miaka kama 75, ina maana ametolewa mwali akiwa na miaka 30 [emoji849]. Kwa kawaida mwali wanatolewa na miaka 13-18
Halafu huu mtindo wa itaendelea mmeutoa wapi? Bongo movie?
Kuna yule jamaa wa "Visa Mikasa vya Kusaka Utajiri", hajaendelea mpaka leo ... Ni Chizi Maarifa sijui
ahahahahaahahha chai ya Leo chumvi imezidi.....Pia tumia muda kujipanga zaidi ili kutoka kiutu cha Uhakika zaidi.
Unaposema shughuli ilikuwa mwaka 1975 kwenye shughuli ya kumtoa Mwali ambaye alikuwa Dada yako na ambaye sasa ana miaka 75, ina maana wakati wa Shughuli yake ya 'Kumtoa Mwali' alikuwa na miaka 30!!
Huyo alikuwa ni Mwali ama Mke wa MTU???
Jipange