Jinsi nilivyowaacha wapenzi wapenda pesa

Jinsi nilivyowaacha wapenzi wapenda pesa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Ashukuriwe Mungu kwamba mpaka leo wapo wanawake wanaompenda mwanaume kwelikweli. Yaani toka moyoni.

Ila wapo kwa uchache sana, hawa ukiwa nao kwenye uhusiano huteseki. Mnaishi maisha ya kusaidiana. Akiwa vizuri anakutoa, ukiwa vizuri unamtoa. Mkichalala wote mnafarijiana mnafurahi.

Maajabu ni kwamba wapo watu mpaka wamefunga ndoa lakini wanaishi maisha ya kulipana. Mimi nikimpata mpenzi mpenda pesa zaidi huwa sirembi namnyoosha.

Namtime siku moja nampigia au nachati naye, namwambia tabia ya kupenda pesa katika mapenzi ni ya watu wanaojiuza au wasiojielewa.

Mwanaume anajua mahitaji ya mwanamke hivyo kama ana pesa anakupa umalize haja zako, unapokuwa ombaomba tunakupa pesa tunakugonga then tunakuweka pembeni.

Baada ya sms ya kumwambia kuhusu tabia ya kuomba pesa, atatuma sms nyingi kuomba msamaha na kujitetea. Najibu kwa sms moja tu. Sawa au ok au nimekuelewa. Baada ya hapo sijibu sms zake tena wala sipokei simu yake.

Nimewafanyia mademu kama 4 hivi. Mmoja nimemrudia, sasa hivi kawa mpole hana tabia za ombaomba.
 
Yah wanawake real wapo sana tu na ni raha ukiwa na mpenzi unajua ana mapenzi halisi na wewe! Sio mwanamke tapeli ambaye unaona yupo na wewe sababu akituma invoice zake unamkamilishia malipo tu!
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
 
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
Mzee baba najizuia sana hapa ila kicheko kinanizidi nguvu aaaahhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yani mnaombea penzi
 
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
mkuu vibaya hivyo, halafu sura personal kitaa wako vizuri sector zote.

wewe baki hapo kumchezea kuna wanaomtamani...but for sure you made my day
 
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
UNAFELI KAMANDA HUYO NDIO MWANAMKE WAKUWA NAE.
 
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀🙌🙌🙌
Wanajuaga kuganda. Ila mkuu hao ndio wanawake wa kuoa sasa.
 
Tatzo n kwamba hawa wenye mapenz ya kweli wana sura personal. Afu hawana shape. Yan kuna mmoja huyo ananipenda knoma akija gheto full kupika,kufua,anafanya usafi,, afu anauliza "Et ruge nkuzalie watoto wangapi" kimoyo moyo najiuliza sasa huyo mtoto atakua na sura gan asee. Namhurumia sana mana mda mwngne ananishka mkono et tuombe mapenz yetu yafik3 mbali.
WENZAKO NDIO TUNAWATAFUTA WANAWAKE KAMA HAO, BAHATI MBAYA TUNAKUTANA NA KAMA HAO WA MTOA UZI, YANI WAO WANAWAZA PESA TU.
 
Duh Kiongozi huyo uliyemrudia akawa mpole sio kwamba kakuelewa, kapata chimbo jingine linampatia mpunga kwa sana, halafu kwako ndo anakuja kupumzikia!!!
Madem wa sasa wapo hvyo,unaweza mzuia kuomba omba hela,na akaacha kwel,lakin akawa na bwana mwingine atakae kuwa anamuomba hela
 
Back
Top Bottom