Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 519
- 256
La la la la la la
Tena mume wake yuko hapa hapa na ananijua then nijianzie tu?!!!
Bora nitafute ID mpya sio hii ambayo nimeshaweka na picha langu kabisa
Infact namuheshimu sana NILHAM kupita maelezo, hata yeye anajua hilo
Najiheshimu pia
Check jibu hilo sasa . . . . kudadadadadadeki
Utafikiri ana madesa
Situumii madesa kwenye shairi ninatesa
Natoa tungo mwanana na maneno yakisasa
Wachimba chumvi nawapoteza nawatesa
Nilham ananijua kwa mashari amenasa
Daaah . . . ina maana nafananishwa na MS upande wa pili au?? :twitch:
kamanda mie nimeread between them lines na nimeelewa. senksNadhani sasa hashycool anajionea mwenyeweeeeee jinsi NILHAM alivyo mrembo kuliko HAPA JF. .
Mtoto hana papara, bali ameupara
Wenye kuchachawa, wataishiwa kunawa
Kampata wake wa kumfaa, sasa anakura raha
Usoni ameng'aa, kwa urembo aliopewa na Allah
Mtoto kweli umetulia, kwenye ndoa wafaa
Mimi sio kwamba namtaka, ila naeleza ukweli wanajukwaa
Msimletee balaa, bali mpeni heshima yenye staha
Mwangalieni kwa Avatar, macho yalivyo tulia
Akianza kuyarembua, utafikiri anakuita
Hakika aliyemuoa ana raha, nyumba ndogo hazitamfaa
Msimkwaze akajikwaa, msimseme kwa mabalaa
Hana pesa za kuhonga, kama mbunge wa Igunga
Husikia ukimwambia, atakupenda ukimpenda
Hana mambo ya kijinga, ni mdada aliyenoga
Nahitimisha kwa kusema, tutaendelea kukupenda
Originally bY CPU
Nadhani sasa hashycool anajionea mwenyeweeeeee jinsi NILHAM alivyo mrembo kuliko HAPA JF. .
Mtoto hana papara, bali ameupara
Wenye kuchachawa, wataishiwa kunawa
Kampata wake wa kumfaa, sasa anakura raha
Usoni ameng'aa, kwa urembo aliopewa na Allah
Mtoto kweli umetulia, kwenye ndoa wafaa
Mimi sio kwamba namtaka, ila naeleza ukweli wanajukwaa
Msimletee balaa, bali mpeni heshima yenye staha
Mwangalieni kwa Avatar, macho yalivyo tulia
Akianza kuyarembua, utafikiri anakuita
Hakika aliyemuoa ana raha, nyumba ndogo hazitamfaa
Msimkwaze akajikwaa, msimseme kwa mabalaa
Hana pesa za kuhonga, kama mbunge wa Igunga
Husikia ukimwambia, atakupenda ukimpenda
Hana mambo ya kijinga, ni mdada aliyenoga
Nahitimisha kwa kusema, tutaendelea kukupenda
Originally bY CPU
waache waseme my dear we hujazoea tuu binaadam ndo tulivyo hivi.... ndio maana pia kukaumbwa na kitu subra...okay??? soo leave it ... and leave it to them what ever they say bora ukweli naujua mimi na wewe.... keep it up my boy...:clap2::clap2:
shossi hongera mkuu hatimae kimwana unae mkononi
she is my lovely sister . . . . .
I love her
i love you my lovely sister nilham
kamanda mie nimeread between them lines na nimeelewa. senks
usjali kaka. niliwahi kuongea hapa kwamba magreti thinkaz tupo wachache na wewe sasa umeingia kwenye list. wengi wao hawakukuelewa. dah! u r a genius mkuuThe Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:
CPU (Today)
Chifu Kloro . . . unataka Ulabu, mbege, mataputapu au Zege???