Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri nilham amekamata nafasi ya malaria sugu katika upande wa pili wa shilingi.
ameen ya raab...:clap2:
Nimefurahi Nilham dua kuitikia
Dua uloitikia Rahman aijubu
Walimwengu waeleze we ndo wangu muhibu
Wajuze wafaham me ndo wako tabibu
Yale maradhiyo polepole hukutibu
Watamkie bayana usikae kama bubu
Nilham mnayemuona kwenye avatar sio yeye. Siva zake halisi hizi hapa chini:
Nilham ni mfupi, wa kimo sio mawazo,
Huvaa sketi fupi, ana ndevu si mchezo,
Hupenda kulamba pipi, nywele kichwani tatizo,
Avatar zinadanganya, Nilham namjua.
Nimefurahi Nilham dua kuitikia
Dua uloitikia Rahman aijubu
Walimwengu waeleze we ndo wangu muhibu
Wajuze wafaham me ndo wako tabibu
Yale maradhiyo polepole hukutibu
Watamkie bayana usikae kama bubu
Duuuh
Jamaa ana mashairi utafikiri alianza kuimba tumboni kwa mama ake
Ngoja nichote ujuzi . . . :coffee:
waache waseme my dear we hujazoea tuu binaadam ndo tulivyo hivi.... ndio maana pia kukaumbwa na kitu subra...okay??? soo leave it ... and leave it to them what ever they say bora ukweli naujua mimi na wewe.... keep it up my boy...:clap2::clap2:
Duuuh
Jamaa ana mashairi utafikiri alianza kuimba tumboni kwa mama ake
Ngoja nichote ujuzi . . . :coffee:
Nakupata vizuri mamiiii:yo:
Hata waone gere vipi mi nitaendelea kumwaga mistari :drum:
Nishawapotezea
:loco::loco::loco::loco:
hehehehheehhe... ukishauchota upitie huu upande wangu unipunguzie na mie..
Hana haja ya kupita mimi ntakufunza
Si mashairi pekee namizungu utaijua
Tena ila ya kishua penzi letu kulitunza
Utakua ukighani huku mimi nakutunza
Nilham mnayemuona kwenye avatar sio yeye. Siva zake halisi hizi hapa chini:
Nilham ni mfupi, wa kimo sio mawazo,
Huvaa sketi fupi, ana ndevu si mchezo,
Hupenda kulamba pipi, nywele kichwani tatizo,
Avatar zinadanganya, Nilham namjua.
Tafadhi kashaijabutege naomba uache mabezo
Nilham hawezi vaa nguo fupi hawezi huo mchezo
Acha sifa mbaya kumpatia ukajaleta mzozo
Nywele ndufu kajaaliwa zanipa mimi liwazo
Naomba uishie hapo uache yako mawazo
Utapata tu mamiii
Maana jamaa anamwaga mi-line ka vile mdogo wake Amr Diab
Ngoja nii-copy then nai-analyse