Jinsi ninavyotumia MS Word + AI kurahisisha kazi

Jinsi ninavyotumia MS Word + AI kurahisisha kazi

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
556
Reaction score
736
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa na kazi nzito sana ya kufanya translation ya pages zaidi ya 1,000 ndani ya wiki moja, kwa kawaida ilikuwa sio rahisi hivyo niliamua kutengeneza script kwa kutumia VBA, php kwenye upande wa server na kuunganisha API za OpenAI na GeminiAI ili ziweze kunisadia kazi moja kwa moja kutoka kwenye MS word yangu. Tazama video hii hapa chini.


Kwa kutumia njia hiyo kazi yangu iliweza kwenda haraka kwa kuwa nilikuwa na higlight paragraph ina_translate kisha nasoma kama ipo sawa naendelea mbele, kama haipo sawa nafanya marekebisho then naendelea mbele.


Kwa post hii nataka wengine pia tuweze kufikiri namna ya kuweza kuunganisha products ambazo zipo ili zifanye kazi pamoja katika kutuongezea ufanisi, badala ya kufikiri kuwa ubunifu ni kuja na kitu kipya tuu ili kutatua changamoto.

Ahsanteni.
 
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa na kazi nzito sana ya kufanya translation ya pages zaidi ya 1,000 ndani ya wiki moja, kwa kawaida ilikuwa sio rahisi hivyo niliamua kutengeneza script kwa kutumia VBA, php kwenye upande wa server na kuunganisha API za OpenAI na GeminiAI ili ziweze kunisadia kazi moja kwa moja kutoka kwenye MS word yangu. Tazama video hii hapa chini.
View attachment 3063782

Kwa kutumia njia hiyo kazi yangu iliweza kwenda haraka kwa kuwa nilikuwa na higlight paragraph ina_translate kisha nasoma kama ipo sawa naendelea mbele, kama haipo sawa nafanya marekebisho then naendelea mbele.


Kwa post hii nataka wengine pia tuweze kufikiri namna ya kuweza kuunganisha products ambazo zipo ili zifanye kazi pamoja katika kutuongezea ufanisi, badala ya kufikiri kuwa ubunifu ni kuja na kitu kipya tuu ili kutatua changamoto.

Ahsanteni.
Sasa umerahisisha nini wakati kila kitu umefanya manually! We do these everyday!
 
Sasa umerahisisha nini wakati kila kitu umefanya manually! We do these everyday!
Nimerahisisha kwa kuwa badala ya kuandika line to line, I just highlight the paragraph na AI ina_translate, so I was just proofreading it kwa kuwa AI haiko advanced sana kwenye kiswahili kuna baadhi ya mambo inakosea inabidi urekebishe, huwezi rely on it kwa asilimia zote.
 
Safi Sana miaka...nahisi we ni mtu mmoja wapo wa kutake opportunity katika maendeleo ya Science.Changamoto nikujifunza jinsi ya kutumiaa AI.
 
Wakuu, kuna tech inayoweza kufanya niscan documents yenye maandishi kisha hayo maandishi nikayahamishia ktk word?
 
Wakuu, kuna tech inayoweza kufanya niscan documents yenye maandishi kisha hayo maandishi nikayahamishia ktk word?

hapa una amanisha una hard copy unataka iende kwenye soft copy na kubak mfumo wa word ?
 
Ndio mkuu

rahisi sana hata kwa simu unaweza 1. Install application inaitwa “small pdf” hii inakupa varieties of option hata hiyo unayotaka ipo….kisha scan document yako af iamishie kwa hiyo App then ibadil from Pdf to word
 
Inaitwaje mkuu na inapatikana wapi?
Inaitwa OCR, kuna apps nying zina uwezo huo, zinapatikana playstore, ila sijawahi zijaribu ufanisi wake, unaweza ziangalia. Mimi huwa nafanya mwenyewe kwa program nilizoandika kupitia API.
 
Back
Top Bottom