dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Habari zenu viongozi,
Kila kitu kina faida yake na hasara.
Ni katika tukio lililotokea juzi, katika maeneo ya kipawa, majira ya saa nne asubuhi.
Ni katika majukumu ya kila siku, ya kutafuta kipato cha hahali alikuwa akitokea. Baada ya kuvuka barabara ya kwanza kuelekea ya pili na kukutana na dhahma ya kugongwa na pikipiki ikitokea upande wa uwanja wa ndege kuelekea tazara.
Hakika alikuwa amepata majeha makubwa sana.
Wasamaria wema walivoiona simu yake yake na kuichukua, kizuri katika simu yake alikuwa hajaweka mywila (passwords) wakawapigia ndugu kutoa taarifa ya hiyo ajali.
Wakamkimbiza hospitali ya temeke , kibaya zaidi hakupatiwa matibabu wakidai pesa ya matibabu, huku mgonjwa akiwa katika hali tete, bahati nzuri ndugu walifika ndo wakalipia hiyo pesa kwa matibabu zaidi.
Je bila kuwatafuta ndudu zake ni nani angeilipa ile pesa?, na ni kwasababu ya kutokuweka nywila katika simu yake.
Watu tunatumia nywila kwakuhifadhia simu zetu kutokana na udokozi mbalimbali, ambao hufanya documenti zetu ziwe salama zaidi.
Ila kama siku za kufa mtu bado ni bado.
Alikiri kamwe hatoweka nywila katika simu yake kabisa .
Fundisho; tukumbuke faida za nywila (passwords) na hasara zake.
Nawasilisha.
Kila kitu kina faida yake na hasara.
Ni katika tukio lililotokea juzi, katika maeneo ya kipawa, majira ya saa nne asubuhi.
Ni katika majukumu ya kila siku, ya kutafuta kipato cha hahali alikuwa akitokea. Baada ya kuvuka barabara ya kwanza kuelekea ya pili na kukutana na dhahma ya kugongwa na pikipiki ikitokea upande wa uwanja wa ndege kuelekea tazara.
Hakika alikuwa amepata majeha makubwa sana.
Wasamaria wema walivoiona simu yake yake na kuichukua, kizuri katika simu yake alikuwa hajaweka mywila (passwords) wakawapigia ndugu kutoa taarifa ya hiyo ajali.
Wakamkimbiza hospitali ya temeke , kibaya zaidi hakupatiwa matibabu wakidai pesa ya matibabu, huku mgonjwa akiwa katika hali tete, bahati nzuri ndugu walifika ndo wakalipia hiyo pesa kwa matibabu zaidi.
Je bila kuwatafuta ndudu zake ni nani angeilipa ile pesa?, na ni kwasababu ya kutokuweka nywila katika simu yake.
Watu tunatumia nywila kwakuhifadhia simu zetu kutokana na udokozi mbalimbali, ambao hufanya documenti zetu ziwe salama zaidi.
Ila kama siku za kufa mtu bado ni bado.
Alikiri kamwe hatoweka nywila katika simu yake kabisa .
Fundisho; tukumbuke faida za nywila (passwords) na hasara zake.
Nawasilisha.