Jinsi Osama Bin Laden alivyotekeleza shambulio la kigaidi baya zaidi kuwahi kutokea Marekani

Jinsi Osama Bin Laden alivyotekeleza shambulio la kigaidi baya zaidi kuwahi kutokea Marekani

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Leo ni kumbukumbu ya miaka (22) baada ya tukio kubwa la Kigaidi lililoua watu (3,000+).

π™„π™‘π™žπ™ π™ͺ𝙬𝙖 11 π™Žπ™šπ™₯π™©π™šπ™’π™—π™šπ™§ 2001 ;

πŸ•‘ Saa 2:45 Asubuhi, ndege ya (1) aina ya '(Boeing 767) kutoka kwenye shirika la ndege la ''American Airlines'' iligonga upande wa kaskazini mwa mnara wa ''World Trade Center', jengo refu zaidi USA πŸ‡ΊπŸ‡² na Duniani wakati huo. Ndani yake kulikuwa na ofisi za mataifa mbalimbali Duniani 🌍

πŸ•‘ Ilipofika saa 3:03 Asubuhi ndege ya (2) aina ya '(Flight 175') kutoka kwenye kampuni ya ''United Airlines'' iligonga upande wa kusini mwa mnara wa ''World Trade center''

πŸ•‘ Ilipofika saa 3:37 asubuhi ndege ya (3) kutoka shirika la ndege la ''American Arlines'' (Flight 77) ilianguka yalipo makao makuu ya wizara ya ulinzi nchini Marekani ''Pentagon''

πŸ•‘ Majira ya saa 4:03 Asubuhi ndege ya (4) kutoka ''United Airlines'' aina ya (Flight 93) ilianguka huko Pennsylvania, na kukamilisha idadi ya ndege nne ambazo zilifanya shambulio hilo la kuogofya πŸ‡ΊπŸ‡²

πŸ“Œ Jumla ya mashambulio yote yaliyotokea ''Septemba 11'' yalisababisha vifo vya zaidi ya watu (3,000+) including magaidi (19) walioziteka ndege hizo na kuziongoza kugonga majengo hayo.

Magaidi waliwateka marubani kisha wao ndio wakaziongoza ndege hizo zilizokuwa na abiria kugonga jengo hilo na zingine kuzidondosha chini hasa target yao ilikuwa zianguke katikati ya makao makuu ya wizara ya ulinzi wa Marekani πŸ‡ΊπŸ‡² Pentagon.

photo_5985545284056367549_x.jpg

Japo tukio hilo halikufanikiwa.

β—‰ 2,977 β€” Watu waliokufa siku hiyo.
β—‰ 2,606 β€” Watu waliokufa wakiwa kwenye jengo la World Trade Center .

β—‰ 246 - Watu waliokufa wakiwa kwenye ndege Including (40) passengers & crew of flight 93 in Shanksville, PA.

β—‰ 125 - Watu waliokufa Pentagon.

Baada ya siku hiyo idadi ya vifo iliongezeka kutokaa na majeraha yaliyosababishwa na tukio hilo na kupindukia watu 3,000+.

Soma Pia: Unalijua hili kuhusu mtoto wa Osama bin Laden

π™Šπ™¨π™–π™’π™– π˜½π™žπ™£ π™‡π™–π™™π™šπ™£

Zoezi zima la ugaidi huo liliratibiwa na Billionaire kijana wakati huo OSAMA BIN LADEN ambaye alikuwa kiongozi wa kundi tishio la kigaidi AL QAEDA.

Osama Bin Mohamed Bin Awadh Bin Laden alizaliwa Nchini Saudi Arabia πŸ‡ΈπŸ‡¦ 10 March 1957. Uraia wake Nchini Saudi Arabia ulisitishwa 1994, kuanzia 1994-2011 hakuwa Raia wa Nchi yoyote Duniani.

Wakati anatekeleza tukio hilo alikuwa na umri wa miaka (41) .. Alikuwa ndiye founder na first general emir wa Al Qaeda kuanzia 1988-2011.

Osama Bin Laden aliuawa kutokana na majeraha mabaya ya risasi 2 May 2011 akiwa na umri wa miaka (54).

πŸ“Œ Robert J. O'Neill kutoka kikosi maalumu cha Kijesusi cha Marekani πŸ‡ΊπŸ‡² NEAVY SEAL ndiye aliyemuua Osama Bin Laden 2011 baada ya kikosi hicho kuvamia mahali alipokuwa amejificha akiwa na wake zake Nchini Afghanistan

Lengo la makomando hao ilikuwa wamkamate Osama akiwa hai na kumpeleka Marekani lakini purukushani zilizotokea kutoka kwa walinzi wake wakati wa ambush hiyo ilipelekea O'Nell kumjeruhi kwa risasi kisha kupoteza maisha baadae.

Makomando hao waliondoka na mwili wake, wakawakamata pia wake zake. Mwili wa Osama ulizikwa kwa siri haijulikani kaburi lake lilipo .. Barack Obama Rais wa Marekani wakati huo alitangaza rasmi kifo cha Osama Bin Laden 2011.

Tukio hili linatajwa kuwa miongoni mwa mashambulizi mabaya zaidi ya kigaidi kuwahi kufanyika Duniani.
 
Leo ni kumbukumbu ya miaka (22) baada ya tukio kubwa la Kigaidi lililoua watu (3,000+).

π™„π™‘π™žπ™ π™ͺ𝙬𝙖 11 π™Žπ™šπ™₯π™©π™šπ™’π™—π™šπ™§ 2001 ;

πŸ•‘ Saa 2:45 Asubuhi, ndege ya (1) aina ya '(Boeing 767) kutoka kwenye shirika la ndege la ''American Airlines'' iligonga upande wa kaskazini mwa mnara wa ''World Trade Center', jengo refu zaidi USA πŸ‡ΊπŸ‡² na Duniani wakati huo. Ndani yake kulikuwa na ofisi za mataifa mbalimbali Duniani 🌍

πŸ•‘ Ilipofika saa 3:03 Asubuhi ndege ya (2) aina ya '(Flight 175') kutoka kwenye kampuni ya ''United Airlines'' iligonga upande wa kusini mwa mnara wa ''World Trade center''

πŸ•‘ Ilipofika saa 3:37 asubuhi ndege ya (3) kutoka shirika la ndege la ''American Arlines'' (Flight 77) ilianguka yalipo makao makuu ya wizara ya ulinzi nchini Marekani ''Pentagon''

πŸ•‘ Majira ya saa 4:03 Asubuhi ndege ya (4) kutoka ''United Airlines'' aina ya (Flight 93) ilianguka huko Pennsylvania, na kukamilisha idadi ya ndege nne ambazo zilifanya shambulio hilo la kuogofya πŸ‡ΊπŸ‡²

πŸ“Œ Jumla ya mashambulio yote yaliyotokea ''Septemba 11'' yalisababisha vifo vya zaidi ya watu (3,000+) including magaidi (19) walioziteka ndege hizo na kuziongoza kugonga majengo hayo.

Magaidi waliwateka marubani kisha wao ndio wakaziongoza ndege hizo zilizokuwa na abiria kugonga jengo hilo na zingine kuzidondosha chini hasa target yao ilikuwa zianguke katikati ya makao makuu ya wizara ya ulinzi wa Marekani πŸ‡ΊπŸ‡² Pentagon.

Japo tukio hilo halikufanikiwa.

β—‰ 2,977 β€” Watu waliokufa siku hiyo.
β—‰ 2,606 β€” Watu waliokufa wakiwa kwenye jengo la World Trade Center .

β—‰ 246 - Watu waliokufa wakiwa kwenye ndege Including (40) passengers & crew of flight 93 in Shanksville, PA.

β—‰ 125 - Watu waliokufa Pentagon.

Baada ya siku hiyo idadi ya vifo iliongezeka kutokaa na majeraha yaliyosababishwa na tukio hilo na kupindukia watu 3,000+.

π™Šπ™¨π™–π™’π™– π˜½π™žπ™£ π™‡π™–π™™π™šπ™£

Zoezi zima la ugaidi huo liliratibiwa na Billionaire kijana wakati huo OSAMA BIN LADEN ambaye alikuwa kiongozi wa kundi tishio la kigaidi AL QAEDA.

Osama Bin Mohamed Bin Awadh Bin Laden alizaliwa Nchini Saudi Arabia πŸ‡ΈπŸ‡¦ 10 March 1957. Uraia wake Nchini Saudi Arabia ulisitishwa 1994, kuanzia 1994-2011 hakuwa Raia wa Nchi yoyote Duniani.

Wakati anatekeleza tukio hilo alikuwa na umri wa miaka (41) .. Alikuwa ndiye founder na first general emir wa Al Qaeda kuanzia 1988-2011.

Osama Bin Laden aliuawa kutokana na majeraha mabaya ya risasi 2 May 2011 akiwa na umri wa miaka (54).

πŸ“Œ Robert J. O'Neill kutoka kikosi maalumu cha Kijesusi cha Marekani πŸ‡ΊπŸ‡² NEAVY SEAL ndiye aliyemuua Osama Bin Laden 2011 baada ya kikosi hicho kuvamia mahali alipokuwa amejificha akiwa na wake zake Nchini Afghanistan πŸ‡¦πŸ‡«

Lengo la makomando hao ilikuwa wamkamate Osama akiwa hai na kumpeleka Marekani lakini purukushani zilizotokea kutoka kwa walinzi wake wakati wa ambush hiyo ilipelekea O'Nell kumjeruhi kwa risasi kisha kupoteza maisha baadae.

Makomando hao waliondoka na mwili wake, wakawakamata pia wake zake. Mwili wa Osama ulizikwa kwa siri haijulikani kaburi lake lilipo .. Barack Obama Rais wa Marekani wakati huo alitangaza rasmi kifo cha Osama Bin Laden 2011.

Tukio hili linatajwa kuwa miongoni mwa mashambulizi mabaya zaidi ya kigaidi kuwahi kufanyika Duniani.
Miaka michache baadaye baada ya kufanyika kwa shambulizi Hilo na baada ya Utawala wa Marekani na CIA kutoa matamko ya kumlaani Osama bin Laden, yeye mwenyewe Osama alipojitokeza alijibu mapigo na kusema hivi:-

"If you undermine our security we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. So, the choice is yours."


FUNZO: Hivyo basi, Serikali yoyote ile pamoja na Taasisi zake zote inapaswa kutenda haki kwa Watu wote ili kuepuka matukio ya Ulipizaji visasi.
 
Miaka michache baadaye baada ya kufanyika kwa shambulizi Hilo na baada ya Utawala wa Marekani na CIA kutoa matamko ya kumlaani Osama bin Laden, yeye mwenyewe Osama alipojitokeza alijibu mapigo na kusema hivi:-

"If you undermine our security we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. So, the choice is yours."


FUNZO: Hivyo basi, Serikali yoyote ile pamoja na Taasisi zake zote inapaswa kutenda haki kwa Watu wote ili kuepuka matukio ya Ulipizaji visasi.

"If you undermine our security we undermine
yours too, and if you kill our people we kill
yours too. So, the choice is yours."

Hii ni kweli. Baadhi ya mashambulizi yalikua yanauwa hadi wasiohusika. Mfano mashambulizi ya balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya, kuna Watanzania na Wakenya kibao waliuwawa pia.
 
hakuna mwenye akili timamu anaamini osama alifanya hilo suala, ni wajinga tu wanaomezq propaganda kama zilivyo bila kutafuna
 
Umejitahidi lakini Osama aliuwawa akiwa Paksta na si Afghanistan. Pia Osama hakujeruhiwa kwani alipigwa risasi ambazo hata sura yake ilikuwa vigumu kumtambua
 
hakuna mwenye akili timamu anaamini osama alifanya hilo suala, ni wajinga tu wanaomezq propaganda kama zilivyo bila kutafuna
Osama yeye mwenyewe binafsi hakuhusika moja kwa moja katika kutekekeza shambulizu Hilo, Bali yeye alikuwa Chief Masterminder wa Mpango huo wote, alikuwa Mfadhili Mkuu wa Watu waliotekeleza mashambulizi hayo.
 
Hv na yule ambaye video zake zilisambaa akiwa ananyongwa n nan?
 
Wakati anatekeleza tukio hilo alikuwa na umri wa miaka (41) .. Alikuwa ndiye founder na first general emir wa Al Qaeda kuanzia 1988-2011.
Alikua na miaka 44
πŸ“Œ Robert J. O'Neill kutoka kikosi maalumu cha Kijesusi cha Marekani πŸ‡ΊπŸ‡² NEAVY SEAL ndiye aliyemuua Osama Bin Laden 2011 baada ya kikosi hicho kuvamia mahali alipokuwa amejificha akiwa na wake zake Nchini Afghanistan
Aliuawa Pakistan
 
Back
Top Bottom