Yea, wamefundishwa kudetect land minesnadhani wale ni wakutegua mabomu aina ya mines, sio mabomu ya Mbagala!
naona humu ndani kuna watu mabomu kabisa hivyo wakija kunusanusa wanaweza kutegua mijibomu iliyotegwa hapa jf
Why not?
Sasa unataka wakimaliza SUA wapewe nini? Kipande cha Cheese?
Hivi wale panya waliotangazwa kuwa wana uwezo wa kutegua mabomu ni kweli walikuwepo/wapo au au yalikuwa mambo ya wanasia tuuu...??? Kama wapo kwa nini wasipelekwe Mbagala wakafanye kazi yao...? Saidia mimi jamani.
Panya wa mabomu wapo. Yule mtu aliyeanzisha hiyo idea ni Belgian,mpaka siku za karibuni alikuwepo Sokoine University.
Huyu mtu ni scientist,na Pia ni Budhist monk.Halafu anaongea Kiswahili huyu mtu,yaani hata abstruse Bhuddist terminology,anaweza kuzifasiri Kiswahili.
Hawa panya wanagundua mabomu,pia wanatumika kugundua bugs wa T. B.
Una maana gani?
...Ndio maana wanasema wangechanganyikiwa!!!Wale nadhani wamespecialise katika maeneo ambayo hakuna makazi ya watu kama mbagala...mbagalakuna kambi ya jeshi, mabomu, na watu.....sad indeed.
Heheheheh, hii kali tena inakabia kuwa kalikiti.
Kwani maprofesa wa sua kucha zao zipoje?Proffesori wa SUA ana kucha nzuri hivyo lol! Nimemkumbuka Mr Sembuche.
View attachment 78740
Yuko full masinonda!
Mkuu usijidanganye hawa panya hawaogopi nyau!Ndugu "NYAU" huyu ni panya kweli au ni Kindi?