Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

MaT2B

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2019
Posts
658
Reaction score
2,081
Habari Wakuu,

Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.

Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.

Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.

TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex.

Nilienda nalo.

Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.

Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.

Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.

Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.

Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.

KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.

Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.

Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.

au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tu.

Maana kwakweli inauma sana.

Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.

Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
 
Pole sana na hayo ndo madhara ya nyeto, acha nyeto, kula vizuri na fanya mazoezi. Fanya hivyo ndani ya muda wa miezi 3+ bila kunyetuka, bila sex utaona mabadiliko.

Ukishapiga hizo dkk 2 haisimami tena?
Ashakwambia tatizo limemuanza kabla hata hajaanza kunyetuka!!

Jf kila mwenye tatizo kunako 6×6 ataambiwa acha nyeto..

Inaonekana ni ushauri mliokaliki kwenye kila posts za namna hii.

Kuna nyeto za aina nyingi, na nyingi hazilwgezi mishipa ya uume, hii acha nyeto mara nyingi sio msaada kabisa.
 
Pole sana na hayo ndo madhara ya nyeto, acha nyeto, kula vizuri na fanya mazoezi. Fanya hivyo ndani ya muda wa miezi 3+ bila kunyetuka, bila sex utaona mabadiliko.

Ukishapiga hizo dkk 2 haisimami tena?
hata kabla ya nyeto ( miaka minne baada ya kuanza sex)
Nilikuwa ni hivyohivyo.

Nikimaliza naweza kurudia sema inachukua hadi dkk10 mpaka nusu saa.
Kurudia narudia hata mara nne.
 
Habari Wakuu
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.

Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.

Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.

TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex. Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.

Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.

KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.

Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.

Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tuu.
Maana kwakweli inauma sana.

Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi
mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
Miaka 30 una kilo 57?

Kuna shida mahala
 
Habari Wakuu
Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo.

Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu.

Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3.

TAtizo hili limeanza toka siku ya kwanza nilipoanza kusex. Nilienda nalo.
Baadae sana nikaanza kukwea mnazi.
Nikaendelea nalo. Hadi leo hii.

Nimeamua kuandika haya ili kutoa ya moyoni , maana hii hali inauma sana.
Yaani uko na demu mzuri kitandani, then unapiga chini ya dk 2.
Demu unamuona kabisa hajapenda, unatka kujitetea unashidwa, unabaki kuwa mnyonge tuu.

KUna demu pia alishawahi kuniacha kisa tatizo hili, huyu alinichana kabisa, kwamba hawezi kuendelea na mimi sababu simridhishi, zaidi tuu namuumiza kihisia. Iliniuma ila nitafanyeje sasa.

Hata huyu wa sasa nawaza ni bora nimuache tuu aendelee na maisha yake.

Mimi pingine nijitkite kutafuta tiba.
au kama vipi niachane tuu na swala la mpenzi, sitooa, niwe hata mlevi tuu.
Maana kwakweli inauma sana.

Nyongeza.
Umri wangu ni karibu 30
Si mlevi
mwili wangu ni mwembamba (kg 57,-59)
Najitahidi kupiga pushups mara kwa mara.
Nakula matunda na mboga za majani mara kwa mara.
Njoo PM nikuuzie vumbi la Congo ukamnyooshee goti vzr
 
hata kabla ya nyeto ( miaka minne baada ya kuanza sex)
Nilikuwa ni hivyohivyo.

Nikimaliza naweza kurudia sema inachukua hadi dkk10 mpaka nusu saa.
Kurudia narudia hata mara nne.
Ila hili suala la kurudia game nadhani inategemea na nyie wawili hapo, mfano mm kuna mtu niko nae sa h game la kwanza ntamaliza vzr ila game la pili siwezi kumwaga bali ntachoka na kuacha game mpaka badae sana.
Ila kuna wengine naweza kwenda nao ht game tano.
 
Back
Top Bottom