Jinsi Profesa Lipumba alivyowatosa CUF na UKAWA kumnusuru rafiki yake Ramadhani Dau asifungwe jela na Hayati Magufuli

pesa za walipakodi kufujwa au kupigwa kwenye hii nchi ni kawaida. na bado zitapigwa sana kwenye miradi mingine kwasababu ya kujuana au kubebana.

watu wanaoneana haya kwasababu wa kumshughulikia mwenzie nae ana yake machafu ya ufujaji wa fedha na ufisadi.
 
Wafanyakazi wa umma wateseka wakistafu kisa DR Slaa , prof Lipumba na DR Dau
 
Mapato ya hili Taifa kama yangekua yanatumika ipasavyo kimaendeleo aisee Bongo ingekua kama ulaya, ila ndo hivo tena Ngozi nyeusi......
 
Mkuu kwa kusoma nyuzi zako naweza sema wewe ni mtu wa kitengo au unaukaribu na watu hao au mwanasiasa mkubwa hapa tz.

Sisi wengine acha tujisomee kwa ajili ya kumbukumbu tu ila kuna watu wanaramba asali hasa jamani..
 
Magufuli alikuwa shetani siyo mtetezi wa wanyonge
Natamani kauli kama hizi zipigwe marufuku kwa sababu zinakera sana. Huwezi muita majina hayo mtu ambaye alijitoa kwa watanzania kuwatumikia kwa moyo wa kizalendo. Tunaamini nyie mnaompakazia na kumuita majina ya ajabu siku za vifo vyenu mtakumbuka na kutubu. Poleni sana. Dkt Magufuli ataendelea kuwa the best president kwa nchi yetu. Mungu aipe pumziko la amani roho yake. Na kauli zenu ndizo zinafanya Rais Samia chukiwe sana na watanzania.
 
Dau aliibiwa mamilioni ya shilingi na walinzi wa nyumba ambayo alikuwa haishi nadhani hiyo nyumba aliifanya benki ndogo. Kuna mzee mdau humu rafiki yake Dau alimtetea sana rafiki yake humu wakati wasomaji walipokuwa wanamshutumu Dr Dau kwa uwizi, tokea alipokuwa bandari na kuhamia NSSF, ajabu pamoja na tuhuma zote hizo akateuliwa balozi wetu huko Malaysia
 
na walikuwa wakimuaddress kana marehemu Padri Karugendo. Once a priest,always a priest.
I don't know about all that "once a priest always a priest" everything. Na sijawahi kusikia mtu anamwita Dr. Slaa Father Slaa, sijui huyo Karugendo.

Yani jitu limekimbia upadri, limeoa, limezaa, limekufa kama raia huru, halafu wamuite Marehemu Father Karugendo ?? Weka video ya mazishi!

WIKIPEDIA

In the canon law of the Catholic Church, the loss of clerical state, commonly referred to as laicization, dismissal, defrocking, is the removal of a bishop, priest, or deacon from the status of being a member of the clergy.

Catholic cleric may voluntarily request to be removed from the clerical state for a grave, personal reason. Voluntary requests were, believed to be by far the most common means of this loss, and most common within this category was the intention to marry

A laicized cleric loses rights to such things as clerical garb and titles such as "Father".
 
MIMI ningekubali tu,nikishinda nawageuka Rasmi!!

Siwezi kubali hongo ya kizembe kama Hiyo!
Kwasababu ,2015 Lowasa angeshinda KWA kura hata kama Mbowe angehamia CCM!

Dola pekee Ndio ushindi KWA Marais wote Wala Sio kura!!


Kama Hayo ni kweli,mi ningewaambia live nikiingia ikulu TU,NATAKA hizo usd 350 millions ziwemo KWENYE akaunti ya SERIKALI Ili zikawahudumie WANANCHI!!

Pole Sana jpm,walikuumiza mno kwa kwenda kinyume na dhamira yako!!
 
Elewa ndugu kuna kuteuliwa na kupangiwa kituo cha cha kazi yeye aliteiliwa mwezi December na kupangiwa nchi ya kwenda ilikuwa tarehe hiyo.elewa
Najua hilo, lakini nadhani mleta hoja yuko sahihi akisema aliteuliwa April 2016. Magufuli hata baraza la mawaziri alichelewa sana kulitaja iweje mabalozi awateule Desemba?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Magufuli naye alilinda mafisadi. Sasa kwa nini amzawadie Dau Ubalozi wakati Kumbe kaharibu kinyama!
 
Hayati naye hakuwa mpiga vita ufisadi kwa dhati hususan pale ufisadi ulipoelekea kumnufaisha yeye!
 
Huo ndio ukweli,Dau alitakiwa kuwa segerea lakini yuko ubalozini
Nachoshukuru Mungu hii mijizi na MITAPELI mingi ya Chama Cha Mambuzi imeshazeeka na Itakufa punde kwa magonjwa mengi waliyonayo miilini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…