Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Siyo kila ndoto ni lazima uihadithie nyingine ni za kuusindikiza usiku wako tu wakati umepumzika.

Siyo kila unachoona kwenye muvi ukadhani ndicho nyingine ni imagination tu baada ya mtu kukosa maarifa kama wewe mleta mada

Yaani unawaita watu wa dini hawana akili halafu wewe na pumba zako hizi ndo mwenye akili? Ajabu!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
𝑴𝒅𝒂 𝒉𝒖𝒐 𝒘𝒐𝒕𝒆 𝒕𝒖𝒍𝒊𝒐 𝒉𝒂𝒊 𝒕𝒖𝒕𝒂𝒌𝒖𝒂 𝒕𝒖𝒔𝒉𝒂𝒌𝒖𝒇𝒂

Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝑯𝒖𝒖 𝒖𝒛𝒊 𝒖𝒏𝒂𝒏𝒊𝒇𝒊𝒌𝒊𝒓𝒊𝒔𝒉𝒂

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngumu sana na itachukua hata miaka elfu kumi kukamilika
 
Maelezo mareeeeeeefuu hoja kijiko.
 
Aisee,yaani wewe ndiye unayedai hupo brainwashed,si upo brainwashed na Shetani na unasambaza uongo wake hapa!Acheni kuwadanganya watu na elimu yenu fake.Nilisema ni peep tu nione,hicho ninachokatazwa nisione,kumbe ni uongo mtupu.Huu ni uongo ule ule wa yule Joka wa zamani Lucifer.Kaiba concept ya Mungu katika Biblia Ufunuo 21:1,ambapo Biblia inasema,
"Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena," halafu anakuja kudanganya the unsuspecting.Biblia inasema kazi ya Shetani ni kuchinja,kudanganya na kuharibu,na hapa yupo kwenye kazi yake moja wapo:kudanganya!

Na kuhusu wewe?Biblia inasema katika Yohana 8:44,
' Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo. "
 
Huu uzi wako umenifikirisha. Siku zote mwenye uwezo kiuchumi mawazo yake ni tofauti na kapuku.
 
haaaaah
haaaaahaaaa dingi huyo shetani mbona una mfear sana kwamba hata tukitoa nadharia tu
unapagawa halafu still unajiona mzima ?

tatizo lako upo horrow sana kuogopa kinyago ulichojichongea akilini mwako wake up c'moon!
 
una maoni gani baada ya Elon Musk kutuletea pisi kali Roboti zenye mbususu tamu kuzidi mwajuma ndala chafu au bado tuendeleze ubishi kwa keyboard huko mwamba akizidi fanya miujiza kua real?
😁😁😁😁😁
 
haaaaah

haaaaahaaaa dingi huyo shetani mbona una mfear sana kwamba hata tukitoa nadharia tu
unapagawa halafu still unajiona mzima ?

tatizo lako upo horrow sana kuogopa kinyago ulichojichongea akilini mwako wake up c'moon!
Simuogopi Shetani, si mpendi,kwa kuwa ni muuaji,mwongo na mharibifu. Kwako kutopenda na kuogopa ni sawa?
 
Simuogopi Shetani si mpendi,kwa kuwa ni muuaji,mwongo na mharibifu.Kwa hiyo kwako kutopenda na kuogopa ni sawa?
mpende adui yako si maneno ya Yesu kristo kutoka kwa Mungu wako?
wewe hiyo mamlaka ya kumchukia Shetani umeyapa wapi na wakati amri kuu ni upendo!
 
mpende adui yako si maneno ya Yesu kristo kutoka kwa Mungu wako?
wewe hiyo mamlaka ya kumchukia Shetani umeyapa wapi na wakati amri kuu ni upendo!
Adui aliyekuwa anaongelea Bwana Yesu ni binadamu sio Shetani.Na hata binadamu alikuwa anaongelea mtu,sio matendo yake.Kama mtu ana matendo mabaya lazima uyachukie.

As a matter of interest,wewe mungu wako ni nani,maana ume address Mungu ninayemuabudu mimi kama "wangu."
 
shetani wewe kwako ana maslahi gani mpaka awe adui yako?
 
Mimi ndie Mungu naejijua hakuna mwingine popote!
Hujanijibu swali langu, wewe Mungu wako ni nani?
 
Mimi ndie Mungu naejijua hakuna mwingine popote!
That is why you call yourself Dumas the terrible.Why terrible,naamini unachinja,unaiba na kuharibu kama baba yako Ibilisi.Yohana alisema vema kuhusu ninyi,alisema,

Yohana 8:44,
44 Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…