Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Kwamba mask akienda Mars hatakufa
Atakufa ila anaandaa project ambayo watoto zake na kizazi chake wataenda kua miungu watu huko mars maana atatambulika miaka mingi baadae kama Masihi na kizazi chake ndio watakua wamiliki wa hiyo sayari

Wewe huoni jinsi Gani anavyo fanya Kwa wanaye yaani ameanzisha mfumo wake wa Elimu na anawasomesha mwenyewe Kwa mitaala yake yenye balaa ndani yake hao watoto watakuja kua moto Wa kuotea mbali kuliko watu wengine wote duniani na ndio kitakua kizazi chenye ujuzi na maarifa ya Hali ya juu mno

Mfuatilie huyo jamaa kiundani hutaamini anachoenda kukifanya!
 
100 series imehusika pakubwaaa na hii habari yako. Inatafakarisha sanaa
 
Kabla ya yote amini Mungu yupo na kwamba akili zake hazichunguziki! Hii dunia ameiumba kwa uwezo wake na iko siku ataikunja kama karatasi na kuichoma moto! Hizo theory zengine ni kuchoshana tu
nilijua tu ,wafia dini hamtakosa humu
 
Hili haliwezekani, tuendelee kufurahishana tu. Hii story yako nahisi umeitoa kwenye movie fulani jina sikumbuki ila inaendana na hadithi yako.
 
Hili haliwezekani, tuendelee kufurahishana tu. Hii story yako nahisi umeitoa kwenye movie fulani jina sikumbuki ila inaendana na hadithi yako.
ok tufanye nimeangalia Hio movie Yako na nimeileta hapa
Leo Nenda kaangalie Taifa stars na bha mutu ba Kongo wanavyokichapa hii maada imekuzidi kipimo pita Hivi,

Akili Kama zako utazikuta kwenye vichwa saizi yenu ila sio makosa yenu pole sana mr brain washed!
 
sasa hii stori ina akili kubwa ipi mkuu? Yani kusimulia vitu ulivyosikia nayo ni akili kubwa? Hizi fiction tu, maisha Mars hayawezekaniki.
 
sasa hii stori ina akili kubwa ipi mkuu? Yani kusimulia vitu ulivyosikia nayo ni akili kubwa? Hizi fiction tu, maisha Mars hayawezekaniki.
wewe Acha ubishi wa kijinga utachekwa hapa jamvini watu wapo project kukamilisha mpango wewe unaleta porojo hapa inawezekana hata hujui Nini kinaendelea huko duniani ila ubishi tu usio na maana kama waliweza Jenga intanational space setelait washindwe Jenga mars?
 
Kuprintije chakula? Hii ni kamba 100
 
Ndiyo nimeshapinga mkuu haliwezekani na hawatakaa wakamilishe hiyo project zaid ya ku land tu huko.
 
Bila source ya hii habari yako hatutaelewana. Mkuu amka kwenye huo usingizi wa pono haraka.
 
Unashangaa chakula wakati wanaproject had za kuprint nyumba
jamaa analeta ubishi wa kijinga nishampuuza jinga Kabisa jitu tunalipatia njia liende likajisomee huko Eti Bado linadai source ya taarifa katika ulimwengu huu wa teknolojia na hapo kashika smartphone

Hahahaha majuha hawatawahi Isha duniani anapenda kutafuniwa sana sie wenyewe tulikua wabishi kama yeye ila tuakaja jua ni ujuha tu now ni mwendo wa kutafuta source ukigusiwa jambo lolote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…