Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 881
- 942
Habari Wakuu!
Kila kona, kila mtaa na viunga vingi ambavyo ndani mwake kuna changanyikeni ya watu, habari ni ujasiliamali. Vijana wengi wamebadilika na kuamua kufanya biashara flani ili kujiingizia kipato.
Hali hii ni tofauti na miaka ya 2009 kurudi nyuma ambapo UJASILIAMALI ilikuwa kitu cha kigumu sana na wengi waliwaza ni kina Bakhresa, Dewjn n. wengine ndiyo wanaweza. Hii ni matokeo chanya ya semina na makongamano ya ujasiliamali ambayo yamekuwa yakifanyika mara kwa mara.
Watu wengi walilala sana, brain feeders wamesaidia mno, shuhuda za safari za ujasiliamali zemeboost minds za vijana wengi. Sasa, kila alieyehamasika na events hzo nae anawaza namna ya kujiajiri.
Kwa kweli, Bila SEMINA NA MAKONGANO YA UJASILIAMALI nadhani kundi kubwa la vijana lingekuwa bado halijitambui kuhusiana na self emloyment.
Kila kona, kila mtaa na viunga vingi ambavyo ndani mwake kuna changanyikeni ya watu, habari ni ujasiliamali. Vijana wengi wamebadilika na kuamua kufanya biashara flani ili kujiingizia kipato.
Hali hii ni tofauti na miaka ya 2009 kurudi nyuma ambapo UJASILIAMALI ilikuwa kitu cha kigumu sana na wengi waliwaza ni kina Bakhresa, Dewjn n. wengine ndiyo wanaweza. Hii ni matokeo chanya ya semina na makongamano ya ujasiliamali ambayo yamekuwa yakifanyika mara kwa mara.
Watu wengi walilala sana, brain feeders wamesaidia mno, shuhuda za safari za ujasiliamali zemeboost minds za vijana wengi. Sasa, kila alieyehamasika na events hzo nae anawaza namna ya kujiajiri.
Kwa kweli, Bila SEMINA NA MAKONGANO YA UJASILIAMALI nadhani kundi kubwa la vijana lingekuwa bado halijitambui kuhusiana na self emloyment.