Jinsi Serikali ya Hayati Magufuli ilivyoichezea Katiba ya Nchi, inatia uchungu

Jinsi Serikali ya Hayati Magufuli ilivyoichezea Katiba ya Nchi, inatia uchungu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Tukiwa katika kupigania katiba mpya nimejikuta natafakari jinsi serikali ya Magufuli ilivyoichezea katiba ya nchi. Hii ni sababu tosha tunahitaji katiba mpya ya kuweza kuchukua hatua kali dhidi ya mhujumu wa katiba. Katiba iliyopo imeweka kinga kwa Rais. Kwa nini ajiwekee kinga kama anafanya mambo kwa ajili ya ustawi wa nchi-woga wa nini.

1. Kukataza miradi ya maendeleo majimbo yenye wabunge wapinzani.

2. Kushindwa kulinda haki za kuishi kwa rais wake huku akiruhusu watu kama kina Sabaya na Makonda kufanya watakavyo

3. Kubinya haki ya kujieleza na kutunga sheria kandamizi.

4. Kumuondosha CAG Prof. Assad kwa hila kinyume na katiba

5. Kuingilia mihimili mingine kama Bunge na Mahakama.

6. Kukata shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani huku CCM wakiendelea na siasa
 
... Kiongozi, Katiba ya sasa "iliyoboreshwa" na CCM sio kinga kwa Rais tu bali MR, WM, S, NS, na JM wote hao wana kinga siku hizi. Nasikiasikia hata MM naye yumo kwenye list ya wenye kinga ya maisha! Ha ha ha, kama Katiba Mpya na Bora itashindikana basi wananchi wote tupewe kinga ya kutoshtakiwa kama wao walivyo nazo.
 
Hata kama ingekuwa mpya angeinyea hivyo hivyo na msingeweza kumfanya lolote, waoga wakubwa nyie[emoji36][emoji36][emoji36]
 
Malipo yake mungu kamuua maana alikuwa machukizo.
 
Unavyosema "jinsi ilivyoichezea" kama vile tumeumaliza mchezo🤣🐒🤸
IMG_20210510_004157.jpg
 
Back
Top Bottom