Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Baada ya kuona kuwa in kikosi kibovu kuliko wakato wowote ule klabu ya Simba ilipoona imepangwa kundi moja na Raja, Horoya na Vipers wakaamua kuibomoa Vipers ili angalau wapate point 6. Wakamchukua Kocha wao ili wapate faida mbili katika mechi dhidi ya horoya kwanza Watakuwa wamevurugikiwa kuondokewa na kocha ghafla lakini pili kocha wa simba atakuwa anaijua vyema timu yake ya zamani (Vipers) na kwa kweli kwa hilo wamefanikiwa na kupata alama 6, sasa kimbembe ni kumfunga HOROYA na kama watafanikiwa kumfunga basi kuna AIBU kubwa ya taifa iwapo watapangwa na Mamelodi.
ikumbukwe si mara ya kwanza kwa Simba kutumia chupli chupli kufikia mafanikio Mwaka 2021 walimchukua kocha wa timu ya AL merreikh ya Sudan waliyekuwa nae kundi moja na kufanikiwa kubahatisha point 4 toka kwa Al merreikh na hatimae kwa msaada wa Corona wakaongoza kundi ila sasa kama ilivyo ada ROBO FAINALI NDO MWISHO WA CHUPLI CHUPLI wakapasuka na Kaizer Chiefs 4G na kuishia hapo .
POVU RUKHSA
ikumbukwe si mara ya kwanza kwa Simba kutumia chupli chupli kufikia mafanikio Mwaka 2021 walimchukua kocha wa timu ya AL merreikh ya Sudan waliyekuwa nae kundi moja na kufanikiwa kubahatisha point 4 toka kwa Al merreikh na hatimae kwa msaada wa Corona wakaongoza kundi ila sasa kama ilivyo ada ROBO FAINALI NDO MWISHO WA CHUPLI CHUPLI wakapasuka na Kaizer Chiefs 4G na kuishia hapo .
POVU RUKHSA