Jinsi uhamiaji Kenya wanatuponza, Watanzania wanaingia ingia tu watakavyo

Wewe jamaa unatapa tapa tu hapa, serikali ya Kenya ni dhaifu na wezi, hii crisis wengi wanaona ni opportunity ya upigaji tu huko kwenu. Hakuna hatua ya maana mnayofanya mpo vile kama watoto, tofauti ya Tz na Kenya ni Kenya tayari ugonjwa umesambaa, unknown cases hamna nyingi, Tz cases zote zipo connected hadi saivi, 2 weeks zinatosha kuonesha mjinga ni nani.
 
Okay bro let's wait and see
 
Unatafuta wa kumuoneshea kidole kwa majanga yenu? Wanajua wakifunga mpaka mtakufa kwa njaa na corona. And by the way, sisi tunaleta kula tu huko corona mnapeana wenyewe kwa wenyewe na bakora zenu za ovyo na uuaji wa raia. Nchi ya kipumbavu kweli KE!
 
Dunia imeshtuka...the more you test covid-19,the more you get infected

Wakenya mtapata mnachokitafuta
 
Wakenya ni kama wamechanganyikiwa
Licha ya kufunga mipaka na na ma curfew,idadi inaongezeka,kwa kiwewe wanaona kama watanzania wanavuka mpaka,kumbe ni wakenya wanakuja Tanzania kutafuta chakula
 
Update covid-19 in Kenya: 16 more tested positive

 

Cases zenu mumeshndwa kuzifuata, mueshndwa kufanya tests mpo mpo tu, ona mpaka Zanzibar wanashtukizwa na watu wa kutokea Tanga, hiyo Tanga hamkuwahi kuitaja sehemu yoyote kwa idadi ya wagonjwa wenu, mpo wazembe kwa kila kitu na mtatuponza sana nyie
Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
 
Watanzania tusijipe moyo kuwa sisi tupo salama sana kisa tuna kesi chache za Corona (kesi 20) mpaka sasa kulinganisha na Kenya (kesi zaidi ya 120).

Ukweli halisi ni huu....

(i)Nchi nyingi zinazopambana na Corona kwa nguvu kubwa (ikiwemo kupima watu wengi na kwa haraka) huku zikiweka wazi taarifa zao basi kesi na vifo vya Corona vinakuwa juu zaidi. Mamlaka za serikali ya Tz zinaijua vyema hii siri. Kilichopo nyuma ya pazia kinatisha.

(ii) Taswira nzima ya kasi ya maumbukizi ya Corona yanachukua muda kujionyesha katika nchi au jamii husika. Kuwa salama kwako leo hakuna maana kesho kutakuwa salama.

(iii)Maumbukizi yanaweza kuanza kwa uchache sana katika nchi husika lakini mwisho wa siku yakawa makubwa sana. (Mataifa mengi ya Ulaya na USA yalikuwa yakikejeli kuenea kwa maumbukizi ya Corona wakati yameanza kule China, leo hii China wameweza kuyadhibiti kwa kiwango kikubwa huku Ulaya na USA wakiwa hoi bin taaban)

USHAURI WANGU.
-Huu sio wakati wa kunyosheana vidole au kutambiana baina ya nchi hizi za ukanda huu wa Afrika Mashariki kwa kuwa hizi ni nchi zinazotegemeana sana na zina muingiliano mkubwa wa kijamii.

-Ni vyema mamlaka za kiserikali na kijamii baina ya hizi nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki kushirikiana kwa karibu mnoo katika kudhibiti ugonjwa huu na pia kukabiliana na athari zozote zinaweza kujitokeza katika udhibiti wa ugonjwa huu.
 
Mtu ametoka Tanga karibia week 3 zilizopata halafu unaropoka ameupatia Tanga, ujinga ni kipaji.

Uwezo wa kupima hamna kwenu, hivyo sampuli zake haijulikani kawapa lini, huko Tanga nani kawaambukiza na wao waliambukiza wangapi, kama mumeshindwa kupima basi acheni kuzurura hovyoo, mnawaponza Wazenji, na kunao kibao mnaingia hata huku kwetu, mnaokamatwa mnatiwa karantini, ila makanjanja wengi mumekwepa kukamatwa mshatinga mitaani kwtu, utakuta mnasambaza balaa maana kwenu huko mankotoka mpo mpo tu, hamna tahadhari yoyote.
 
Wewe ni mpumbavu, mwisho wa April tutaona vifo vingi vitakuwa Kenya au Tz ? Majigambo na ujinga wenu utaonekana dhahiri.
 
Wewe ni mpumbavu, mwisho wa April tutaona vifo vingi vitakuwa Kenya au Tz ? Majigambo na ujinga wenu utaonekana dhahiri.

Corona haiui Waafrika sana maana hata sisi tunaopima wengi kwa mkupuo mpaka sasa tuna vifo viine tu, ilhali wazungu wanahesabu maelfu ya vifo, nyie mlioshindwa kupima hamna vifo vingi maana hata leo akifa mtu huko hamna uwezo wa kujua kafa kwa ajili gani, labda msubiri misaada ya vifaa zaidi vya kupima Corona, Jack Ma anatuma vinakuja Afrika, tulieni.
Waafrika tusheherekee misaada ya Jack Ma inaendelea kuja, sasa anatuma ventilators na vifaa vya kupima Corona - JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…