Jinsi Uhuru Anavyioba Mioyo Ya Watu

Jinsi Uhuru Anavyioba Mioyo Ya Watu

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Naamini wanadada wengi wanafurahishwa na vitu kama hivi ambavyo huyeyusha mioyo ya wengi.

 
Mwendaomo, be careful about literally translating the phrases in one language to another language like that. "Stealing people's hearts", in Kiswahili doesnt exactly mean the same thing as in English. In Kiswahili, it is just that, literally.
 
MwendaOmo
Labda kamkonga yeye, watu wanataka majibu yenye kuridhisha kuhusu masuala ya ardhi kubwa inayomilikiwa na watu wachache.
Wanataka kujua:
1. Ni kina nani wanaomiliki ardhi kubwa hivyo?
2. Wanamiliki kiasi gani?
3. Waliipata namna gani?
4. Itarudishwa kwa wananchi jinsi gani?
5. Itarudishwa lini?
 
MwendaOmo
Labda kamkonga yeye, watu wanataka majibu yenye kuridhisha kuhusu masuala ya ardhi kubwa inayomilikiwa na watu wachache.
Wanataka kujua:
1. Ni kina nani wanaomiliki ardhi kubwa hivyo?
2. Wanamiliki kiasi gani?
3. Waliipata namna gani?
4. Itarudishwa kwa wananchi jinsi gani?
5. Itarudishwa lini?

Hayo mambo ya mashamba yalikuwa wa 2013. Mwaka huu mambo ya mashamba hayako kwa ajenda.
 
Hayo mambo ya mashamba yalikuwa wa 2013. Mwaka huu mambo ya mashamba hayako kwa ajenda.

Ahaaaa haaaa haaaa
Fuatilia kaka utaona.
One of aspects of the historical injustice is land issue.
 
Mkuu heshima kwako. Heading ya threadi ingesomeka hivi: Jinsi uhuru anavyokonga mioyo ya watu , yani ingependeza na kuwa mzuka.

Go go go Uhuru. Hatutaki Sizonje mwengine East Africa
Bravo bravo broo
 
Back
Top Bottom