Ok shamba lako litakuwa na eneo la 4900m2 lakini hiyo sio eka ni zaidi ya eka.Yaani bwashe uliyeleta mada naona kila unavyokoment unazidi kunipoteza. Mimi Nina futi kamba....nikinunua shamba la 70*70m kwa hesabu za haraka nina 4900m2. Hizo 4000 za yard unazileta za Nini hapa bongo???? Nieleweshe
kwa wastani hatua ya mtu mzima ina urefu wa futu 2.5. sawa na 75cm au 0.75m. sasa ukipimiwa upana wa hatua 70 na urefu wa hatua 70 utakuwa na eneo lenye urefu wa 70x0.75 = 52.5m. upana pia utakuwa 52.5m.
ukitafuta eneo ambalo ni urefu x upana =52.5x52.5= 2756.25m square. hapo utaambiwa ni ekari moja wakati ekari moja ina mita square 4,000. unakuwa umepunjika 4000-2756= 1244m square.
ukinunua ekari kumi kwa hatua utapunjika 12,440 m square. hizo ni sawa na ekari 12,440/4000= 3.
kwa hiyo ukinunua ekari 10 kwa hatua utapunjwa 3 na kubakiwa na 7. ukinunua 100 utapunjwa 30.
Ekari ni mita 4000,hekta ni mita 10,000, inamaana hekta 1= ekari 2.570m * 70m = 49,000 m2 ; mita za mraba 4,047 umezipataje mkuu?
Hatua hiyo ya 75cm hapana ,nenda kashuhudie hatua za wapima mashamba unaweza lia hatua huwa ni 90cm to 1m maana wanapiga hatua hatembei kama wanavyotembea kawaida .hivyo muuza shamba huwa anaibiwa ,nayakuta sana haya unaenda shamba kufanya kazi ukijua eka au robo ukifika robo ni sawa na nusu ya vipimo .
Robo=1000m2
Nusu eka=2,000m2
Ekari moja=4,000m2
Hekta moja=10,000
Pia hekta 1= ekari 2.5
Hii hesabu muhimu saana kwenye kujua idadi ya miche shamban kwako hapa ndio unakuta unanunua mbegu ya eka ukifika kwako imeishia nusu shamba maana vipimo vya eka kwako ni kubwa zaidi ya uhalisia
wenye mashamba wengine watata. wanakuuliza ''hizo ndiyo hatua gani? ndiyo unavyotembeaga??'' labda kama unanunua kwenye ardhi ya kijiji.Hatua hiyo ya 75cm hapana ,nenda kashuhudie hatua za wapima mashamba unaweza lia hatua huwa ni 90cm to 1m maana wanapiga hatua hatembei kama wanavyotembea kawaida .hivyo muuza shamba huwa anaibiwa ,nayakuta sana haya unaenda shamba kufanya kazi ukijua eka au robo ukifika robo ni sawa na nusu ya vipimo .
Robo=1000m2
Nusu eka=2,000m2
Ekari moja=4,000m2
Hekta moja=10,000
Pia hekta 1= ekari 2.5
Hii hesabu muhimu saana kwenye kujua idadi ya miche shamban kwako hapa ndio unakuta unanunua mbegu ya eka ukifika kwako imeishia nusu shamba maana vipimo vya eka kwako ni kubwa zaidi ya uhalisia
Ukitembea umeshika milioni mkononi anakupa na eneo la ofa ,ukiona anaringa jua dalali au anaelimu ya vipimowenye mashamba wengine watata. wanakuuliza ''hizo ndiyo hatua gani? ndiyo unavyotembeaga??'' labda kama unanunua kwenye ardhi ya kijiji.
wenye mashamba wengine watata. wanakuuliza ''hizo ndiyo hatua gani? ndiyo unavyotembeaga??'' labda kama unanunua kwenye ardhi ya kijiji.
kuna kitu wanaita the curse of knowledge. unahisi unachojua kila mtu anajua. ila nimejitahidi niwezavyo kurahisisha.Amekuja n mantiki nzuri ila nahisi amewakilisha thread yake kama si alikuwa anasinzia basi itakuwa alikuwa anawahi 00:00 leo si unajua 16/6/2016 TCRA wanafanya yao
Nilifikiri unawahi TCRA mkuu,ila umesema ukweli kuhusu ununuzi kiwanja lazima tuwe makini sanakuna kitu wanaita the curse of knowledge. unahisi unachojua kila mtu anajua. ila nimejitahidi niwezavyo kurahisisha.
Ekari 152 sawa mita za mraba ngapinafikiri bongo tumezoea mita. watu wengi hasa wa kitunguu hulalamika kuwa mavuno kwa hekari siyo kama walivyoambia lakini kumbe walilima 70% ya eka na si ekari kamili. vipi miti mkuu, hupanda mingapi kwa ekari?
Kwa wastani hatua ya mtu mzima ina urefu wa futi 2.5. sawa na 75cm au 0.75m. Sasa ukipimiwa upana wa hatua 70 na urefu wa hatua 70 utakuwa na eneo lenye urefu wa 70x0.75 = 52.5m. Upana pia utakuwa 52.5m.
Ukitafuta eneo ambalo ni urefu x upana =52.5x52.5= 2756.25m square. Hapo utaambiwa ni ekari moja wakati ekari moja ina mita square 4,000. Unakuwa umepunjika 4000-2756= 1244m square.
Ukinunua ekari kumi kwa hatua utapunjika 12,440 m square. Hizo ni sawa na ekari 12,440/4000= 3.
Kwa hiyo ukinunua ekari 10 kwa hatua utapunjwa 3 na kubakiwa na 7. Ukinunua 100 utapunjwa 30.