Hatua hiyo ya 75cm hapana ,nenda kashuhudie hatua za wapima mashamba unaweza lia hatua huwa ni 90cm to 1m maana wanapiga hatua hatembei kama wanavyotembea kawaida .hivyo muuza shamba huwa anaibiwa ,nayakuta sana haya unaenda shamba kufanya kazi ukijua eka au robo ukifika robo ni sawa na nusu ya vipimo .
Robo=1000m2
Nusu eka=2,000m2
Ekari moja=4,000m2
Hekta moja=10,000
Pia hekta 1= ekari 2.5
Hii hesabu muhimu saana kwenye kujua idadi ya miche shamban kwako hapa ndio unakuta unanunua mbegu ya eka ukifika kwako imeishia nusu shamba maana vipimo vya eka kwako ni kubwa zaidi ya uhalisia