Jinsi unavyozidi kufanikiwa, ndivyo unavyozidi kuongeza maadui

Jinsi unavyozidi kufanikiwa, ndivyo unavyozidi kuongeza maadui

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kama ulikuwa na biashara moja, na ukaongeza nyingine n.k jua ya kuwa unazidi kuongeza maadui; na adui mbaya zaidi ni yule mtu wako wa karibu, anaweza kuwa ndugu, kaka, dada, shangazi, mjomba n.k hawa wengine wa nje ni wapitaji tu, watakutikisa na watakuacha.

Hata wale unaowashirikisha kwenye ndoto, matamanio, au malengo yako; wanaweza kukugeuka na kuwa maadui; hasa wakijua una mpango wa kuanzisha kitu chenye tija, iwe biashara, ujenzi, kiwanda n.k

Kama, Yusuph alisalitiwa na ndugu zake sababu tu, kuwashirikisha ndoto yake, unafikiri wewe utapendwa zaidi na jamii uliyonayo?​
 
Kama ulikuwa na biashara moja, na ukaongeza nyingine n.k jua ya kuwa unazidi kuongeza maadui; na adui mbaya zaidi ni yule mtu wako wa karibu, anaweza kuwa ndugu, kaka, dada, shangazi, mjomba n.k hawa wengine wa nje ni wapitaji tu, watakutikisa na watakuacha.

Ata wale unaowashirikisha kwenye ndoto, matamanio, au malengo yako; wanaweza kukugeuka na kuwa maadui; hasa wakijua unampango wa kuanzisha kitu chenye tija, iwe biashara, ujenzi, kiwanda n.k

Kama, Yusuph alisalitiwa na ndugu zake sababu tu, kuwashirikisha ndoto yake, unafikiri wewe utapendwa zaidi na jamii uliyonayo?​

Kama dhana ya maadui wengi kwa sababu ya mafanikio ingekuwa sahihi basi daktari wa uchumi Mwigulu angempiku Bill Gates.
 
Kama dhana ya maadui wengi kwa sababu ya mafanikio ingekuwa sahihi basi daktari wa uchumi Mwigulu angempiku Bill Gates.
Palipo na changamoto, lazima pawepo na njia za kujihami
 
The best enemy is yourself. ..unapokua na dreams nakutaka usifiwe hapo ndio shida ilipo,ukiwa na dream zako fanya then wakijaona umefanya ndio usifiwe. .shida wa tz wanataka kusifiwa bilakua na kitu. .talk too much
Na wakishaona matokeo, ubazazi unaanza
 
Hii ya ndugu ndio huwa inanistaajabisha. Unakuta ndugu yako wa familia moja ila anaposikia unafanya jambo kubwa anakunja roho.

Aiseee huwa natamani nichape risasi maana ni bora mtu baki au jirani utasema huyu hanifahamu ila sio damu yako maana hata ukijua anachukia mafanikio yako unabakia kumshangaa, unauliza hivi ilikuwaje hii ng'ombe tukazaliwa familia moja.

Umenunua gari mtu ana anza kukufuatilia ratiba zako. Mara aongee na mama yako kuwa anahitaji gari kufanya jambo lake ukichomoa maneno, utasikia magari yenyewe machuma, wangapi mjini walikuwa na magari na sasa hivi tunapanda nao daladala. Unabakia kucheka tu unasema jinga hili. Yaani unamkunjia roho ndugu yako sababu ameshindwa kwenda na ratiba zako za kipuuzi. Kwann usichukue hata Uber?!
 
Hii ya ndugu ndio huwa inanistaajabisha. Unakuta ndugu yako wa familia moja ila anaposikia unafanya jambo kubwa anakunja roho.

Aiseee huwa natamani nichape risasi maana ni bora mtu baki au jirani utasema huyu hanifahamu ila sio damu yako maana hata ukijua anachukia mafanikio yako unabakia kumshangaa, unauliza hivi ilikuwaje hii ng'ombe tukazaliwa familia moja.

Umenunua gari mtu ana anza kukufuatilia ratiba zako. Mara aongee na mama yako kuwa anahitaji gari kufanya jambo lake ukichomoa maneno, utasikia magari yenyewe machuma, wangapi mjini walikuwa na magari na sasa hivi tunapanda nao daladala. Unabakia kucheka tu unasema jinga hili. Yaani unamkunjia roho ndugu yako sababu ameshindwa kwenda na ratiba zako za kipuuzi. Kwann usichukue hata Uber?!
Huwa inatokea tu, nadhani labda ni asili ya binadamu
 
Kama ulikuwa na biashara moja, na ukaongeza nyingine n.k jua ya kuwa unazidi kuongeza maadui; na adui mbaya zaidi ni yule mtu wako wa karibu, anaweza kuwa ndugu, kaka, dada, shangazi, mjomba n.k hawa wengine wa nje ni wapitaji tu, watakutikisa na watakuacha.

Hata wale unaowashirikisha kwenye ndoto, matamanio, au malengo yako; wanaweza kukugeuka na kuwa maadui; hasa wakijua una mpango wa kuanzisha kitu chenye tija, iwe biashara, ujenzi, kiwanda n.k

Kama, Yusuph alisalitiwa na ndugu zake sababu tu, kuwashirikisha ndoto yake, unafikiri wewe utapendwa zaidi na jamii uliyonayo?​

Hakuna husiano wa kufanikiwa na kuwa na maadui.

Maadui wanakuja namna unavyoushi na watu.

Unaweza kuwa huna kitu lakini kuna watu wanakutakia mabya kila leo.

Unaweza kuwa unacho lakini watu wengi wana wish uendelee kuwepo.
 
Hakuna husiano wa kufanikiwa na kuwa na maadui.

Maadui wanakuja namna unavyoushi na watu.

Unaweza kuwa huna kitu lakini kuna watu wanakutakia mabya kila leo.

Unaweza kuwa unacho lakini watu wengi wana wish uendelee kuwepo.
Kwa nini watu waliopiga hatua, huwa wanakodi ulinzi binafsi au kumiliki silaa?
 
Back
Top Bottom