Mfumo wa dunia uko hivyo; ili wakili apate hela inabidi uwe na kesi,ili dokta apate hela inabidi wewe uumwe/upate ajali, ili wewe upande cheo inabidi aliyepo aondolewe n.k
Mfumo wa dunia uko hivyo; ili wakili apate hela inabidi uwe na kesi,ili dokta apate hela inabidi wewe uumwe/upate ajali, ili wewe upande cheo inabidi aliyepo aondolewe n.k
basi na maadui hawatokosa ila usikariri kuwa kila mafanikio kuna uadui au kila fanikio kuna uzurumati na ujue kwamba uadui unakuja na uzurumati siku zote.