plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,394
- 1,434
JINSI UTAKAVYOKUWA USIPOAMUA KUPANDA MLIMA NA WEWE
Hapa mlima ninaoumaanisha ni maisha yako, kwa mfano unataka kufanya jambo flani na ukaulizia kwa wengine waliofanya jambo kama hilo, na walipokupa mbinu hukuchukua hatua ili na wewe ufike walipofikia au ujionee mwenyewe.
Kwa mfano unataka kuandika kitabu, ukaamua kuuliza au kufuatilia waandishi mbalimbali walivyofanikiwa kuandika vitabu vyao, badala na wewe uanze kuandika (kupanda mlima) bado umekaa chini ya mlima( hujachukua hatua yeyote).
Kwa kufanya hivyo hutakaa uandike hicho kitabu, mfano huu sio kwa vitabu pekee bali na maeneo mengine ya maisha. So, anza kupanda mlima wako.
DON'T FORGET TO SHOW SOME LOVE:
Hapa mlima ninaoumaanisha ni maisha yako, kwa mfano unataka kufanya jambo flani na ukaulizia kwa wengine waliofanya jambo kama hilo, na walipokupa mbinu hukuchukua hatua ili na wewe ufike walipofikia au ujionee mwenyewe.
Kwa mfano unataka kuandika kitabu, ukaamua kuuliza au kufuatilia waandishi mbalimbali walivyofanikiwa kuandika vitabu vyao, badala na wewe uanze kuandika (kupanda mlima) bado umekaa chini ya mlima( hujachukua hatua yeyote).
Kwa kufanya hivyo hutakaa uandike hicho kitabu, mfano huu sio kwa vitabu pekee bali na maeneo mengine ya maisha. So, anza kupanda mlima wako.
DON'T FORGET TO SHOW SOME LOVE: