Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
usiache kuja nayo hii na usisahau katiba pia ili tujadiliane vizuri kwenye mdahalo baada ya maandamano haramu ya mapanyarodi January 24 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiache kuja nayo hii na usisahau katiba pia ili tujadiliane vizuri kwenye mdahalo baada ya maandamano haramu ya mapanyarodi January 24 🐒
Nchi hii ukiondoa utawala wa Nyerere upigaji ni jambo la kawaida ktk hawamu zote, tofauti tu ni kwamba kundi lipi linapiga na kwa wakati gani. Kurudi kwa Nchimbi kutapunguza kasi ya siasa za mabavu na kutotumia akili walizozizoea Sukuma Gang.Hizi ndio dalili kuu za kufilisika kisiasa!
Badala ya kuleta hoja zenye mashiko kwa wananchi. CHADEMA mnafanya siasa za kutafuta matukio.
Ukweli ni kwamba Nchimbi kama Emmanuel Nchimbi ni jambazi lingine la CCM ambalo ujio wake tena ndani ya siasa za nchi hii.
Hususan ndani ya CCM. Ni habari mbaya kwa watanzania kwa sababu ni muendelezo wa kundi la msoga la kifisadi.
Kwa hiyo kupuuziwa kwake na UMMA wa Watanzania ni kwa sababu wameona mafisadi wakizidi kujiimarisha ndani ya CCM.
Na sio kwamba maandamano ya Chadema ndio sababu kuu.
Tafuteni sera badala ya kujiandikia saa ingine upuuzi usio na uhalisia.
Yaan unapoandika kitu au issue jaribu kuja, na statistics ambazo ni significant, sio kuandika maneno mengi bila evidence za kutosha. Kwa ufupi umeandika porojo. Kwa sasa porojo hazina nafasi.Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .
Lakini kwa Bahati mbaya sana , uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .
Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi , yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake , kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress
View attachment 2873290
uje nayo hii nukuu pamoja na katiba ili itusaidie kam reference kwenye mdahalo baada ya usafi. usisahau tafadhali ni muhimu sana
Wananchi walikwisha wapuuza.Mark my word kwa hili na mtaona mtakavyopuuzwa 24/01/24.Nguvu ya Chadema inatisha ,
Sasa unalia nini ?Wananchi walikwisha wapuuza.Mark my word kwa hili na mtaona mtakavyopuuzwa 24/01/24.
Mbowe ametoka kula Mlungula wa 150m juzi kati.
Halafu bila aibu anakuja eti peppers pewa!
Shame on all of you out there.
Dkt Emmanuel Nchimbi ameteuliwa na chama chake kuwa Katibu Mkuu , kwa kadiri ya kumbukumbu zetu , kwa mtu yeyote kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM ni jambo kubwa linalopaswa kuzagaa midomoni mwa wananchi na vyombo vya Habari , hii ni kwa sababu Chama hicho ni kikongwe mno , ikizingatiwa pia kwamba nafasi hiyo wamepita watu wengi maarufu , wakiwemo Philipo Mangula , Yusufu Makamba , Kinana na wengineo , Hivyo tulitarajia kishindo kikuu kwa uteuzi wa Nchimbi .
Lakini kwa Bahati mbaya sana, uteuzi huu wa Nchimbi umekuja katika kipindi kibaya , kipindi ambacho Mwamba wa siasa za Nchi Freeman Mbowe , ametangaza Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 , Tangazo hili la Mbowe limepokelewa kwa kishindo kikuu na wananchi , ambao wameahidi kuunga mkono na kushiriki Maandamano hayo ya Amani .
Kwa kifupi ni kwamba Taarifa za uteuzi wa Nchimbi zimezimwa na Taarifa ya maandamano ya Chadema , Yaani ni kwamba wananchi wanaona kuwa Maandamano ya kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu zaidi kuliko Uteuzi wa Nchimbi, yaani Uteuzi wa Nchimbi umepuuzwa na Wananchi kwa vile wanaona kuna jambo kubwa zaidi kuliko uteuzi wake, kisiasa na hasa kwa Nchi kama Tanzania hii ni Progress
Una uhakika ama unajisemea tu?Ni uteuzi wa hovyo wa kurudisha majangili ya nchi kwenye system
Naona wamekosa usingizi, wanajua haitakuwa rahisi sana kwao kutoboaUteuzi wa Dr Nchimbi ni pigo kwa wapinzani na ni ustawi wa ccm
Sana tuNchimbi aogopwe na Chadema !
Tulia wewe bado akili yako haijakomaaUna uhakika ama unajisemea tu?