Pre GE2025 Jinsi Uteuzi wa Nchimbi ulivyofifishwa na Taarifa za Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi hii ukiondoa utawala wa Nyerere upigaji ni jambo la kawaida ktk hawamu zote, tofauti tu ni kwamba kundi lipi linapiga na kwa wakati gani. Kurudi kwa Nchimbi kutapunguza kasi ya siasa za mabavu na kutotumia akili walizozizoea Sukuma Gang.
 
Yaan unapoandika kitu au issue jaribu kuja, na statistics ambazo ni significant, sio kuandika maneno mengi bila evidence za kutosha. Kwa ufupi umeandika porojo. Kwa sasa porojo hazina nafasi.
 
Nguvu ya Chadema inatisha ,
Wananchi walikwisha wapuuza.Mark my word kwa hili na mtaona mtakavyopuuzwa 24/01/24.
Mbowe ametoka kula Mlungula wa 150m juzi kati.
Halafu bila aibu anakuja eti peppers pewa!
Shame on all of you out there.
 
Wananchi walikwisha wapuuza.Mark my word kwa hili na mtaona mtakavyopuuzwa 24/01/24.
Mbowe ametoka kula Mlungula wa 150m juzi kati.
Halafu bila aibu anakuja eti peppers pewa!
Shame on all of you out there.
Sasa unalia nini ?
 
Hahahahahahaaaaa!

Hivi hii minyumbu mbowe ameipa limbwata la wapi hadi imekuwa mizuzu namna hii?!!!! Maandamano gani yanazungumzwa huku mtaani?!!!🀣🀣🀣🀣🀣
Huku mitaani naona watu wamechill wanajipigia mishe zao tu bila habari yoyote ya maandamano. Acheni kujitekenya basi.......
 

Uteuzi wa Dr Nchimbi ni pigo kwa wapinzani na ni ustawi wa ccm
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…