Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Siku hizi katika nchi hii kuna biashara ya kamari holela ambapo kuna watu husimika vimashine vidogo vya kamari katika mitaa ya wananchi. Mara nyingi utavikuta vinashine hivyo katika sehemu zenye mikusanyiko mingi ya watu lakini vinakuwa vimefichwafichwa.
Wamiliki wengi wa vimashine hivyo ni Wachina, ambapo hushirikiana na Wabongo wachache ambao wao huwa ndo wako front, na Wachina wao huja baadae Usiku na kukusanya Sarafu kwenye ndoo.
Hii kitu serikali inajua, polisi inajua, serikali za mitaa zinajua lakini hawafanyi lolote. Huenda watu wa serikali za mitaa na baadhi ya polisi wana migao yao humo.
Soma pia:
Rais Samia athibitisha kuna uhaba wa Shilingi nchini. Bila ya kifo cha Mafuru tungelijua hili?
Huu ni uhujumu uchumi wa hali ya juu. Athari za mambo hayo ni ukosefu wa chenji, na kuondoa mzunguuko wa pesa ndogo kwa watu wenye kipato kidogo. Hii inafanya gharama za maisha kupanda kwa sababu watu wanapeg huduma zao kwenye pesa za juu kwa kutokuwa na uwezo wa kutoa chenji.
Haya mambo ya kipuuzi huwezi kuyakuta kwenye nchi zinazojielewa. Huwezi kuyafanya CHINA ukasurvive hata siku moja. Nashangaa nchi yetu inageuka shamba la bibi, tunakuwa kama MIJINGA fulani hivi kwa kuruhusu na kulea UPUMBAVU huu wa Kamari holela.
Hapa Sizungumzii Betting hizi za mipira (Japo nalo ni bomu). Nazungumzia Vending machines ambazo watu wanadumbukiza sarafu kucheza kamari. Hizi vending machines bubu zimetapakaa nchi nzima.Naambiwa hadi vijijini huko zipo
Wamiliki wengi wa vimashine hivyo ni Wachina, ambapo hushirikiana na Wabongo wachache ambao wao huwa ndo wako front, na Wachina wao huja baadae Usiku na kukusanya Sarafu kwenye ndoo.
Hii kitu serikali inajua, polisi inajua, serikali za mitaa zinajua lakini hawafanyi lolote. Huenda watu wa serikali za mitaa na baadhi ya polisi wana migao yao humo.
Soma pia:
Rais Samia athibitisha kuna uhaba wa Shilingi nchini. Bila ya kifo cha Mafuru tungelijua hili?
Huu ni uhujumu uchumi wa hali ya juu. Athari za mambo hayo ni ukosefu wa chenji, na kuondoa mzunguuko wa pesa ndogo kwa watu wenye kipato kidogo. Hii inafanya gharama za maisha kupanda kwa sababu watu wanapeg huduma zao kwenye pesa za juu kwa kutokuwa na uwezo wa kutoa chenji.
Haya mambo ya kipuuzi huwezi kuyakuta kwenye nchi zinazojielewa. Huwezi kuyafanya CHINA ukasurvive hata siku moja. Nashangaa nchi yetu inageuka shamba la bibi, tunakuwa kama MIJINGA fulani hivi kwa kuruhusu na kulea UPUMBAVU huu wa Kamari holela.
Hapa Sizungumzii Betting hizi za mipira (Japo nalo ni bomu). Nazungumzia Vending machines ambazo watu wanadumbukiza sarafu kucheza kamari. Hizi vending machines bubu zimetapakaa nchi nzima.Naambiwa hadi vijijini huko zipo