Jinsi Voda Tz Brand Inavyodhalilika Instagram Picha Za Ovyo Logo Voda, Acc Za Matusi Zinawapost &Tag

Kweli unagawa elimu bure watakuelewa tu...
 
Sasa naanza kuamini waliosema account ya lara1 ina uhusiano na yule dada wa insta.

Afu huyu kijana cjui ni ndumba au nyota kali maana kila anayejaribu kumshusha anapoteza yeye.
 
Vodacom power to you..... Siku nyingine tena teh
So voda hapo wanatakiwa wamuite duller, baby ake na wengio wawakanye kurepost matangazo ya Voda
 
Naona promo la bure linapamba moto very good.
ok nimekuelewa japo nafsi yako ndo ina majibu sahihi ka upo nyuma ya tigo au. Poa kazi njema katika mapambano yako japo ni sawa na vitz vuta semi kitonga kwa maana voda ni vijeba.
 
Sasa naanza kuamini waliosema account ya lara1 ina uhusiano na yule dada wa insta.

Afu huyu kijana cjui ni ndumba au nyota kali maana kila anayejaribu kumshusha anapoteza yeye.

Sasa mimi sina cha kupotezaaa, maana kama kurogwa maisha yashaniroga kitambooo. Hahahaaaa!
 
ok nimekuelewa japo nafsi yako ndo ina majibu sahihi ka upo nyuma ya tigo au. Poa kazi njema katika mapambano yako japo ni sawa na vitz vuta semi kitonga kwa maana voda ni vijeba.

Juzi vitz ilipanda mlima Knjaro. Nimesema nawapa 1 week. Sasa tuone. Mimi nina mda wa kutosha, bundle la kutosha , knowlege ya kutosha ya Pr najua nikawakamatie wapi. Wewe by Sunday next week ukiona hawajachukua hatua na sijaja na Link ya mbele nilikoenda niite.
 
Vodacom power to you..... Siku nyingine tena teh
So voda hapo wanatakiwa wamuite duller, baby ake na wengio wawakanye kurepost matangazo ya Voda

Voda hapo watajua kwanini HUKUTI TANGAZO LA TIGO, HALOTELL, AIRTELL WALA ZANTELL KWENYE HIZI ACCOUNT UCHAFU, FAKE, WAPOST MATUSI????????/ Je wenyewe wanafanyaje to keep their brand clean?

NDO MAANA HUKUAJILIWA VODA NA HULIPWI 6 FIGURES WALA USIUMIZE KICHWA, KUNA WATU NA MASTERS ZAO 5 MULE, KUNA AIM GROUP AGENCY KUBWA TU INA MPAKA ACCOUNT MANAGER NA ACCOUNT EXCECUTIVE SPECIAL FOR VODA. Usiwaze kabisaaa.
 
Kila mtu akiajiriwa voda kazi nyingine anafanya nani? Hii hii kazi yangu ndo nataka sihitaji ya Voda wala tigo
Back to topic.... Diamond alivopata tu hiyo deal akatangaza instagram shindano atakaerepost hayo matangazo mara kibao atapata zawadi, ndo repost zikaanza kwa nguvu, kila mtu yupo bize na ongea deile kwenye account kwa Vodacom ni kufanikiwa huko matangazo yanatangazwa tayari..... We angalia nani anatangaza
 
Page zenye picha chafu ndio zenye followers wengi
 
Huyu dada roho mbaya itamuua si urudi tu Bongo
 
Kuna Dada mmoja presenter alikua haishiwi kumfollow follow mond alichojibiwa sasa hahahah," Eti ningekukaza ungeniheshimu". Watch Out asikusikie Mond
 
Lowassa aliposema ELIMU, ELIMU na ELIMU watu walimuona bwege, ila huyu mzee alishaona tatizo la raia wa nchi hii hasa vijana ni elimu.... hiyo timu diamond ninauhakika asilimia 10000000% wote ni ZERO BRAINS wakiongozwa na huyo rais wao mkata mauno.. SIWEZI KUSHANGAA WANACHOPOST SABABU KINAENDANA NA HADHI YA UBONGO WAO, Ila tawashangaa voda milele. πŸ˜•
 
Ni wachache wenye akili nzuri kuzidi zile akili za kijinga za teams teams ndio watakaokuelewa.

Huwezi kumkuta mtu aliyesomea Business/Managerial Ethics atakubaliana na weaknesses hizi za Vodacom. Kumbuka Vodacom ina Competitors wenye nguvu haswa. Wabongo tu wagumu kuelewa na tuna asili ya ubishi wa kijinga.

Tatizo... Elimu,Elimu,Elimu.

We miss ua words E. Lowassa
 
Haswaaaa...!!!
 
Mods huu Uzi ungefaa uende jukwaa la celebrities maana haliusiani na kutoa mawazo ya kibiashara ama ujasiriamali kwa faida ya wanajukwaa, naliona mda mrefu huku tafadhalini hizi post za wasanii mzipeleke celebrities ama entertainment
 
bora hilo umeliona maaana linakera kwa kweli ila watu bwana ukisema ukweli unakuwa adui duuuuh #lara
 

Ni kawaida Kwa vinyozi kuponda maana iko kwenye Damu.
 
Lala one toka kuwa mtunga riwaya zinazohusiana na maisha ya utafutaji na mahusiano ya kimapenzi ya wadada wa mujini mpaka mpinzani wa mondi bid laden.

hakika ktk member wa JF waliopanda viwango,huyu dada ni Namba moja.mwee!.
 
We ni hater 101.... There's something bitter in your heart bout this kid. He done come from nuthin leave him alone. He got fans with different mind set and some don't know the impact of what they doing. My question is why go through all this trouble!?!? Ungekua na roho nzuri ungemshauri diamond kuhusu madhara ya hii kitu ili ajue kuliko kusambaza hate. We si unajifanya msomi na more civilized. Douchebaguette!
 
I guess wanaapply thinking ya any publicity is good publicity even if it is negative publicity.

I guess this is what happens when you only focus on the numbers and ignore your core values, I would really love to know how many of those viewers are converted into real customers.

I think vodacom wana tabia ya negligence au thinking ya kwamba they are too big to fail, ebu angalia mess waliyoingia rite now in South Africa, soon they will be paying damages amounting to billions of dollars( vodacom vs nkosana)
Sasa mimi sina cha kupotezaaa, maana kama kurogwa maisha yashaniroga kitambooo. Hahahaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…