Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Kweli unagawa elimu bure watakuelewa tu...Hahahaaaaa! Ungejua Ali namtafutaa kwa udi na uvumba, ile scandal yake naunder 18 naiwekea migo 24hrs yule dogo afunguke tu nije nimtumbue humu. Yaani bahati yake kweli. Wale tembo atawaona mbugani tu. Kwenye 40 za mwizi Ali yupo kwenye 30 na kitu.
Hapa hapendwi mtu ni maadili tu.