Ba Razaack
Member
- Jun 15, 2020
- 31
- 41
Mida ya jion nilikuwa nimekaa sehemu napata zangu gahawa,,Walipita wadada wawili ,
Mmoja mweupe mrefu hivi ana shape flan hivi, katika kijiwe kile wanaume wengi walionekana kumsifia saaaana yule manzi lakini Mwingine aliye kuwa na rangi nyeusi afu mfupi hakuweza kupewa ushirikiano Kabsaa katika kijiwe kile.
Nikawaza saaaana kumbe tunalalamika"Black lives matter "" kumbe sisi wenyewe hatujipendi na kujikubali kabisaa rangi zetu,
Mmoja mweupe mrefu hivi ana shape flan hivi, katika kijiwe kile wanaume wengi walionekana kumsifia saaaana yule manzi lakini Mwingine aliye kuwa na rangi nyeusi afu mfupi hakuweza kupewa ushirikiano Kabsaa katika kijiwe kile.
Nikawaza saaaana kumbe tunalalamika"Black lives matter "" kumbe sisi wenyewe hatujipendi na kujikubali kabisaa rangi zetu,