Jinsi Wachina wanavyopiga hela nyingi Morogoro!

Tittle ilipangwa,matarajio ni kuona main topic kwa mpangilio mzuri.
Ila hizo blaah blaaah hazijakaa kisomi kabisa.
Safari bado.
Kwani Pameandikwa Ukitaka Kuja JAMII FORUM Lazima Uwe Msomi?..

Hiyo ni EGO Inakusumbua Mzee.

Wewe Soma...

Ukiona Inakufaa Ishi nayo Ukiona Haikufai Pita Hivi.
 
Just a follow up

hapo ndiyo kwenye hoja ya msingi, umeendika sana mkuu mtu anabaki anaitafuta point ipo wapi

Ukitaka mtu apate ujumbe gonga kwenye vitu vya msingi fupisha hoja zako ili ujumbe uwafikie wengi, tunashukuru kwa kusambaza mbinu za kibiashara
 
Appreciate Iceberg[emoji1666]
 
Appreciate Iceberg[emoji1666]
Kuna kitu ulisema, kwa kweli huwa nachukizwa niingie kwenye duka liwe la nguo nk na unakuta mtoa huduma hana muda na wewe anakuambia chagua yeye yupo busy anacheza na simu ni kwa vile huwa wengi wameajiriwa na hawana uchungu na biashara ya mwajiri wake, katika ujasiriamali ni laizma tuaajili vijana wenye sifa wenye mbinu za kukuza mauzo
 
Exactly Kaka... Maana Kama Unachokiuza ni COMMODITY Kwanini Ulete Maringo mbele ya Mteja?..
 
Wewe Jamaa Ni Hovyo Sana Umeandika Mpaka Sijui Nini Hakuna Lolote
 
Maelezo mengiiii hata sio ya msingi hata kdgo ww hufanyi biashara so hata huelew nn kimetokea hapo! Hakuna mtu anaweza kumkwepa mchina kwenye hiyo biashara mtu alishauza mwanzo unasema sijuu follow up, huwajui wachina ww kaa kwa kutulia kifup hawakwepek kwa sabab wako cheap sana bidhaa zao


Piacere di conoscerti 🤝
 
Mh.......maneno meeeeeeengi,makala ndefuuuuuu,Haina point Wala maajabu!!!!!
Alafu watu wenyewe anaowataja Mrema, tumesoma nao, tunawajua kitambo tu toka wapo ziro kwao jumba la udongo, na Wala hatuwashobokei.
 
** Jinsi Ya Kutengeneza Pesa Zaidi Sokoni Kupitia Mbinu ya Follow Up**

Introduction:

Katika ulimwengu wa biashara, siri ya mafanikio mara nyingine hupatikana kwenye mbinu na mikakati unayotumia kushughulika na wateja wako. Katika hali ya kawaida, wateja wengi huonyesha "interest" au nia ya kununua bidhaa au huduma, lakini mafanikio ya kweli yanaanza mara tu unapojua jinsi ya kufanya "Follow Up." Kupitia mifano halisi ya tukio la kununua chaji za iPhone huko Morogoro, tutajifunza jinsi mbinu hii inavyoweza kuleta mafanikio makubwa sokoni.

Sehemu ya Kwanza: Nia ya Mteja na Umuhimu wa Follow Up

Kila mteja anapoonyesha nia ya kununua bidhaa au huduma, huanza na hatua ya kuonyesha "interest." Hii inaweza kuwa kutokana na mahitaji yao binafsi au hata tamaa za kujifunza zaidi. Kuelewa umuhimu wa kufuatilia (Follow Up) kunaweza kubadilisha "interest" kuwa hatua thabiti ya kununua.

Sehemu ya Pili: Mbinu za Kufanya Follow Up

Mara nyingi, mbinu za kufanya Follow Up zinaweza kuwa kupitia simu, barua pepe, au hata meseji za kawaida. Kwenye tukio la Morogoro, mteja alionyesha nia ya kununua chaji za iPhone, na muuzaji aliamua kufuatilia kwa karibu. Hii inajumuisha kumuuliza maswali muhimu, kutoa ufafanuzi wa bidhaa, na kumshawishi mteja kuchukua hatua.

Sehemu ya Tatu: Mifano Halisi ya Follow Up

Wakati mteja alipoonyesha nia ya kununua chaji za iPhone, muuzaji alifanya "Follow Up" kwa kumuuliza maswali muhimu kuhusu mahitaji yake na kutoa ufafanuzi zaidi wa bidhaa. Mteja alikuwa na maswali mengi ambayo yalihitaji majibu kabla ya kufanya maamuzi ya kununua.

Kupitia Mchezo wa Follow Up: Mbinu ya Mteja wa Pili

Mara nyingine, mteja anaweza kuonyesha nia ya kununua, lakini hatua halisi ya ununuzi inaweza kuchukua muda. Hapa, muuzaji alishiriki mchezo wa Follow Up na mteja wa pili - mchina mwenye duka la vifaa vya simu. Mteja huyu alipewa muda wa kutosha kutoa majibu na kufanya uamuzi mzuri.

Hitimisho: Jinsi Follow Up Inavyoleta Mafanikio

Kutoka kwenye mifano hii, tunajifunza kuwa mafanikio ya kweli katika biashara yanaweza kutokana na jinsi unavyofanya "Follow Up" kwa wateja wako. Kufuatilia kwa karibu, kutoa ufafanuzi wa ziada, na kutoa majibu sahihi kwa maswali ya mteja kunaweza kuwa njia bora ya kubadilisha "interest" kuwa mauzo ya kweli. Kwa kufanya hivyo, unajenga uhusiano mzuri na wateja na kuongeza uwezekano wa kurudia biashara na mapendekezo.

Kwa hiyo, hakikisha kutumia mbinu hii ya Follow Up katika biashara yako ili kufungua milango ya mafanikio zaidi sokoni!
 
Umeeandika mengiiiii.. point kubwa mchina alikua anatake note.. ili kujua kwa nini bidhaa ile wateja wanaipenda Sana .. Ili wakati mwingine anapoagiza kitu kiendane na uhitaji wa wateja.

Follow up ni nyongeza
 
Sasa mselemi Kweli hchi ndio unakijuwa wewe Leo mm nafanya biashra na wahindi na wachina Ni watu biashara wale asbh tu naonge na mvhina ananiomba nichukuwe vitaza vyake kwa mkopo
 
Mkuu wabongo walishachoka kusoma. Umeandika vitu vya maana ila wabongo hawapendi kusumbuka. Wanapenda vitu kijuujuu ndio maana mambo mengi hatujui kiundani tunapenda shortcut.
Wenzetu wanapenda kusoma A to Z hata kama ni utumbo. Usipate shida sisi ndio wabongo aka watu weusi. Watu wanao ongoza kwa kutokusoma.
Teknolojia zote duniani zimo kwenye vitabu ila hatuzijui kwa sababu hatupendi kusoma.
Kuna mama mmoja wa kichina ameweza ku break through chip fubrication technology kwa kusoma vitabu tu. String theory iligunduliwa kwenye vitabu.
Sisi waafrika nani katuroga kuchukua kusoma maandishi marefu ? Tunahuzunisha ila basi tu.
Mtoa mada usichoke
 
Nachokiona kwako umekariri tu hayo madude, kiufupi hakuna cha maana hapo.

Watu tunafanya biashara pia sio hizo blah blah

Samahan mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…