Jinsi Wachina wanavyopiga hela nyingi Morogoro!

Tatizo Letu wa BONGO Ujuaji mwingi.
 
Alafu watu wenyewe anaowataja Mrema, tumesoma nao, tunawajua kitambo tu toka wapo ziro kwao jumba la udongo, na Wala hatuwashobokei.
Sijakuuliza Mzee... Kama Unaona Hakuna Cha Msingi kwanini Umesoma sasa?..
 
Alivyoelezea hicho kisehemu cha Mrema ni kama anawasimulia makomandoo namna ya kuingia kuokoa mateka
Tatizo Hujui na Hutaki Kujifunza... Kaangalie SIFA za Story Ndio Utajua kwanini Nimeweka hivyo.
 
Umeeandika mengiiiii.. point kubwa mchina alikua anatake note.. ili kujua kwa nini bidhaa ile wateja wanaipenda Sana .. Ili wakati mwingine anapoagiza kitu kiendane na uhitaji wa wateja.

Follow up ni nyongeza
Appreciate [emoji106]
 
Sasa mselemi Kweli hchi ndio unakijuwa wewe Leo mm nafanya biashra na wahindi na wachina Ni watu biashara wale asbh tu naonge na mvhina ananiomba nichukuwe vitaza vyake kwa mkopo
Yeah Vizuri Kaka. Sema kuna wengine Hawajui hiki Kitu.
 
Shukrani Kaka Mkubwa.[emoji1317]
 
Hivi ulikuwa na sababu ya kuandika maneno yote haya kweli!! Mimi nimeshindwa kabisa kumaliza. Naona story ya Mchina, sijui akaenda kwa fundi!! Dah!! Bla bla bla nyiiingi!!

Wakati mwingine fupisha story yako bhana.
 
Nimesoma comment kwenye uzi huu, ikabidi nirudi tena kusoma mada husika,nimehitimisha safari yetu ni ndefu mno kwa aina hii ya majibu kwenye mada hii.
 
Nimesoma comment kwenye uzi huu, ikabidi nirudi tena kusoma mada husika,nimehitimisha safari yetu ni ndefu mno kwa aina hii ya majibu kwenye mada hii.
Bora Umenisaidia Kaka Pendaeli.
 
Nimesoma comment kwenye uzi huu, ikabidi nirudi tena kusoma mada husika,nimehitimisha safari yetu ni ndefu mno kwa aina hii ya majibu kwenye mada hii.
..........mind you, hao waliochangia mada hii ndo wanaaminika kuwa wasomi na waelewa na huu ndo mtandao unaoaminika kuwa umebeba watu wanaojitambua zaidi kuliko social media zingine(wanajiita great thinkers)... Sasa imagine huko Facebook, wasap, insta, TikTok etc kuna watu wa aina gani..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…